id string | story_id string | context string | question string | answer string | paragraph_id string |
|---|---|---|---|---|---|
4970_swa_4 | 4970_swa | NDOA YA KIFO. Rosa na dada wake mdogo Rose waliozaliwa wakiwa watoto wa kipekee kwao. Wazazi wao waliaga dunia Rosa akiwa miaka kumi na mitano naye Rose akiwa miaka kumi. Rosa naRose waliwapoyeza wazazi wao kwa ajali ya ndege. Wawili Hawa walichukuliwa na shangazi wao kuwalinda kwa kuwa walikuwa wachanga mno. Rosa alik... | Rosa alikohoa kikohozi chenye nini | damu | x |
4971_swa_0 | 4971_swa | PIGO LA UGONJWA WA SARATANI Ugonjwa wa Sararani ni ugonjwa unaoadhiri damu mwilini. Ugonjwa huu husababishwa kushikana kwa damu na hivyo kuleta ama kusababisha kumea kwa uvimbe katika sehemu ya mwili iliyoadhirika. Kitambo kidogo, iliaminika kuwa ugonjwa wa Sararani huadhiri watu wa umri wa miaka hamsini kuenda juu na ... | Ugonjwa gani huathiri damu mwilini | saratani | x |
4971_swa_1 | 4971_swa | PIGO LA UGONJWA WA SARATANI Ugonjwa wa Sararani ni ugonjwa unaoadhiri damu mwilini. Ugonjwa huu husababishwa kushikana kwa damu na hivyo kuleta ama kusababisha kumea kwa uvimbe katika sehemu ya mwili iliyoadhirika. Kitambo kidogo, iliaminika kuwa ugonjwa wa Sararani huadhiri watu wa umri wa miaka hamsini kuenda juu na ... | Lini iliaminika kuwa saratani huathiri watu wa miaka hamsini | kitambo kidogo | x |
4971_swa_2 | 4971_swa | PIGO LA UGONJWA WA SARATANI Ugonjwa wa Sararani ni ugonjwa unaoadhiri damu mwilini. Ugonjwa huu husababishwa kushikana kwa damu na hivyo kuleta ama kusababisha kumea kwa uvimbe katika sehemu ya mwili iliyoadhirika. Kitambo kidogo, iliaminika kuwa ugonjwa wa Sararani huadhiri watu wa umri wa miaka hamsini kuenda juu na ... | Nini imeleta pigo kubwa kwetu | saratani | x |
4971_swa_3 | 4971_swa | PIGO LA UGONJWA WA SARATANI Ugonjwa wa Sararani ni ugonjwa unaoadhiri damu mwilini. Ugonjwa huu husababishwa kushikana kwa damu na hivyo kuleta ama kusababisha kumea kwa uvimbe katika sehemu ya mwili iliyoadhirika. Kitambo kidogo, iliaminika kuwa ugonjwa wa Sararani huadhiri watu wa umri wa miaka hamsini kuenda juu na ... | Familia ya nani huathirika zaidi na kifo | mwendazake | x |
4971_swa_4 | 4971_swa | PIGO LA UGONJWA WA SARATANI Ugonjwa wa Sararani ni ugonjwa unaoadhiri damu mwilini. Ugonjwa huu husababishwa kushikana kwa damu na hivyo kuleta ama kusababisha kumea kwa uvimbe katika sehemu ya mwili iliyoadhirika. Kitambo kidogo, iliaminika kuwa ugonjwa wa Sararani huadhiri watu wa umri wa miaka hamsini kuenda juu na ... | Mbona serikali hutumia pesa kuwafunza watu wengine | ili waweze kuchukua nafasi ya aliyeaga | x |
4972_swa_0 | 4972_swa | RESIPE YA KUPIKA PILAU NA KITOWEO CHA KUKU. Pilau ni chakula Cha waswahili ambacho hupikwkwa kutumia vitu vifuatavyo 1. Vitunguu vitatu vikubwa 2. Tangawizi iliyobondwa ikawa ungaunga 3. Mafuta ya kupika 4. Chumvi vijiko vidogo vitatu 5 . Pilau Masala 6. Nyama ( kulingana na kiasi Cha pilau) 7. Mchele( kulingana na kia... | Pilau ni chakula Cha nani | waswahili | x |
4972_swa_1 | 4972_swa | RESIPE YA KUPIKA PILAU NA KITOWEO CHA KUKU. Pilau ni chakula Cha waswahili ambacho hupikwkwa kutumia vitu vifuatavyo 1. Vitunguu vitatu vikubwa 2. Tangawizi iliyobondwa ikawa ungaunga 3. Mafuta ya kupika 4. Chumvi vijiko vidogo vitatu 5 . Pilau Masala 6. Nyama ( kulingana na kiasi Cha pilau) 7. Mchele( kulingana na kia... | nyama huchemshwa kwa muda upi ili iive | saa moja | x |
4972_swa_2 | 4972_swa | RESIPE YA KUPIKA PILAU NA KITOWEO CHA KUKU. Pilau ni chakula Cha waswahili ambacho hupikwkwa kutumia vitu vifuatavyo 1. Vitunguu vitatu vikubwa 2. Tangawizi iliyobondwa ikawa ungaunga 3. Mafuta ya kupika 4. Chumvi vijiko vidogo vitatu 5 . Pilau Masala 6. Nyama ( kulingana na kiasi Cha pilau) 7. Mchele( kulingana na kia... | Nyanya ipi huongezwa kwa nyama | Iliyosagwa | x |
4972_swa_3 | 4972_swa | RESIPE YA KUPIKA PILAU NA KITOWEO CHA KUKU. Pilau ni chakula Cha waswahili ambacho hupikwkwa kutumia vitu vifuatavyo 1. Vitunguu vitatu vikubwa 2. Tangawizi iliyobondwa ikawa ungaunga 3. Mafuta ya kupika 4. Chumvi vijiko vidogo vitatu 5 . Pilau Masala 6. Nyama ( kulingana na kiasi Cha pilau) 7. Mchele( kulingana na kia... | Mtu huongeza maji kulingana na kiwango cha nini | Pilau | x |
4972_swa_4 | 4972_swa | RESIPE YA KUPIKA PILAU NA KITOWEO CHA KUKU. Pilau ni chakula Cha waswahili ambacho hupikwkwa kutumia vitu vifuatavyo 1. Vitunguu vitatu vikubwa 2. Tangawizi iliyobondwa ikawa ungaunga 3. Mafuta ya kupika 4. Chumvi vijiko vidogo vitatu 5 . Pilau Masala 6. Nyama ( kulingana na kiasi Cha pilau) 7. Mchele( kulingana na kia... | Kitoweo hufunikwa kwa nini | Ili kichemke | x |
4976_swa_0 | 4976_swa | Athari za Ufisadi Nchini Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na zogo moja. Hili zogo linakisiwa lililetwa na Wazungu. Huo huo wakati wa ukoloni. Walipofurushwa kutoka Afrika, waliliacha huku. Shina nao ikasambaza mizizi. Nchi mingi zimejaribu kuuingoa hili zogo. Lakini wengi wanaambulia patupu. Mizizi inazidi kikita k... | Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na nini | Zogo | x |
4976_swa_1 | 4976_swa | Athari za Ufisadi Nchini Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na zogo moja. Hili zogo linakisiwa lililetwa na Wazungu. Huo huo wakati wa ukoloni. Walipofurushwa kutoka Afrika, waliliacha huku. Shina nao ikasambaza mizizi. Nchi mingi zimejaribu kuuingoa hili zogo. Lakini wengi wanaambulia patupu. Mizizi inazidi kikita k... | Ufisadi ulianza lini | Jadi | x |
4976_swa_2 | 4976_swa | Athari za Ufisadi Nchini Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na zogo moja. Hili zogo linakisiwa lililetwa na Wazungu. Huo huo wakati wa ukoloni. Walipofurushwa kutoka Afrika, waliliacha huku. Shina nao ikasambaza mizizi. Nchi mingi zimejaribu kuuingoa hili zogo. Lakini wengi wanaambulia patupu. Mizizi inazidi kikita k... | Nani wanampendelea mtoto moja | wazazi | x |
4976_swa_3 | 4976_swa | Athari za Ufisadi Nchini Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na zogo moja. Hili zogo linakisiwa lililetwa na Wazungu. Huo huo wakati wa ukoloni. Walipofurushwa kutoka Afrika, waliliacha huku. Shina nao ikasambaza mizizi. Nchi mingi zimejaribu kuuingoa hili zogo. Lakini wengi wanaambulia patupu. Mizizi inazidi kikita k... | wanoshiriki ufisadi huwa wanatumia nini mara nyingi | pesa | x |
4976_swa_4 | 4976_swa | Athari za Ufisadi Nchini Tangu jadi nchi za Afrika zimekumbwa na zogo moja. Hili zogo linakisiwa lililetwa na Wazungu. Huo huo wakati wa ukoloni. Walipofurushwa kutoka Afrika, waliliacha huku. Shina nao ikasambaza mizizi. Nchi mingi zimejaribu kuuingoa hili zogo. Lakini wengi wanaambulia patupu. Mizizi inazidi kikita k... | Ni kwa vipi wanasiasa wanachangia katika ufisadi | Wanawalaghai wananchi kwa pesa wakitafuta kura | x |
4977_swa_0 | 4977_swa | Dhuluma Nchini Kuna kasumba inayoendelea nchini. Ambayo inapaswa kushughulikiwa. Mambo mengi yanayotatiza jamii. Ni mambo ambayo yanaweza kutatuliwa. Ikilinganishwa na mababu zetu. Dunia ya kisasa imejaa uovu. Jamii imepotoshwa . Hakuna tena maadili mema. Binadamu wamegeuka hayawani. Hakuna anayemjali mwingine. Kutokan... | Dunia ya kisasa imejaa nini | Uovu | x |
4977_swa_1 | 4977_swa | Dhuluma Nchini Kuna kasumba inayoendelea nchini. Ambayo inapaswa kushughulikiwa. Mambo mengi yanayotatiza jamii. Ni mambo ambayo yanaweza kutatuliwa. Ikilinganishwa na mababu zetu. Dunia ya kisasa imejaa uovu. Jamii imepotoshwa . Hakuna tena maadili mema. Binadamu wamegeuka hayawani. Hakuna anayemjali mwingine. Kutokan... | Nani wamegeuka hayawani | Binadamu | x |
4977_swa_2 | 4977_swa | Dhuluma Nchini Kuna kasumba inayoendelea nchini. Ambayo inapaswa kushughulikiwa. Mambo mengi yanayotatiza jamii. Ni mambo ambayo yanaweza kutatuliwa. Ikilinganishwa na mababu zetu. Dunia ya kisasa imejaa uovu. Jamii imepotoshwa . Hakuna tena maadili mema. Binadamu wamegeuka hayawani. Hakuna anayemjali mwingine. Kutokan... | Nani wanapitia hali ngumu | Wanawake | x |
4977_swa_3 | 4977_swa | Dhuluma Nchini Kuna kasumba inayoendelea nchini. Ambayo inapaswa kushughulikiwa. Mambo mengi yanayotatiza jamii. Ni mambo ambayo yanaweza kutatuliwa. Ikilinganishwa na mababu zetu. Dunia ya kisasa imejaa uovu. Jamii imepotoshwa . Hakuna tena maadili mema. Binadamu wamegeuka hayawani. Hakuna anayemjali mwingine. Kutokan... | Ni nini inahusiana na kupokea au kutoa rushwa | Ufisadi | x |
4977_swa_4 | 4977_swa | Dhuluma Nchini Kuna kasumba inayoendelea nchini. Ambayo inapaswa kushughulikiwa. Mambo mengi yanayotatiza jamii. Ni mambo ambayo yanaweza kutatuliwa. Ikilinganishwa na mababu zetu. Dunia ya kisasa imejaa uovu. Jamii imepotoshwa . Hakuna tena maadili mema. Binadamu wamegeuka hayawani. Hakuna anayemjali mwingine. Kutokan... | Ni vipi mtu hajahitimu hupata kazi | Kwa kutoa rushwa | x |
4978_swa_0 | 4978_swa | Fahari ya Kiafrika Mojawapo ya athari kubwa. Katika maendeleo ya jamii za kisasa. Ni kupapia tamaduni . Za kimagharibi. Na kutupilia tamaduni ambazo toka jadi. Zimekuwa mlezi wa jamii. Nyingi barani afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna. Utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifu. Na ... | Hakuna nini ambao umeustawisha mwingine | Utamaduni | x |
4978_swa_1 | 4978_swa | Fahari ya Kiafrika Mojawapo ya athari kubwa. Katika maendeleo ya jamii za kisasa. Ni kupapia tamaduni . Za kimagharibi. Na kutupilia tamaduni ambazo toka jadi. Zimekuwa mlezi wa jamii. Nyingi barani afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna. Utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifu. Na ... | Wavyele wa jamii za Kiafrika walifanya uamuzi kuhusiana na nini | Lishe | x |
4978_swa_2 | 4978_swa | Fahari ya Kiafrika Mojawapo ya athari kubwa. Katika maendeleo ya jamii za kisasa. Ni kupapia tamaduni . Za kimagharibi. Na kutupilia tamaduni ambazo toka jadi. Zimekuwa mlezi wa jamii. Nyingi barani afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna. Utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifu. Na ... | Asili mia ya madini ya vitamini C kwa kiazi kimoja ni ngapi | Sitini na tano | x |
4978_swa_3 | 4978_swa | Fahari ya Kiafrika Mojawapo ya athari kubwa. Katika maendeleo ya jamii za kisasa. Ni kupapia tamaduni . Za kimagharibi. Na kutupilia tamaduni ambazo toka jadi. Zimekuwa mlezi wa jamii. Nyingi barani afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna. Utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifu. Na ... | Nini huimarisha utendakazi wa matumbo | Utembwe | x |
4978_swa_4 | 4978_swa | Fahari ya Kiafrika Mojawapo ya athari kubwa. Katika maendeleo ya jamii za kisasa. Ni kupapia tamaduni . Za kimagharibi. Na kutupilia tamaduni ambazo toka jadi. Zimekuwa mlezi wa jamii. Nyingi barani afrika. Ni muhimu kutambua kuwa hakuna. Utamaduni ambao umeustawisha mwingine. Badala ya kuimarisha utamaduni dhaifu. Na ... | Ili kupunguza baadhi ya changamoto za kiafya vipi | Kwa kuhamasisha umma kuhusu maendeleo pofu | x |
4979_swa_0 | 4979_swa | Faraga Tulibaki pale maziarani kwa muda. Mrefu bila kutaamuli. Nilikuwa pamoja na mama na halati mdogowe mama. Niliendelea kulisasasasasa lile kaburi. Nikachomeka kijiti cha waridi. Jekundu upande uliolazwa kichwa cha marehemu. Nilipotupa ozi angani. Anga lilikuwa wazi huku jua. Likicheza danedane kwa hashuo. Pengine r... | Msimulizi alichomeka kijiti gani katika lile kaburi | cha waridi | x |
4979_swa_1 | 4979_swa | Faraga Tulibaki pale maziarani kwa muda. Mrefu bila kutaamuli. Nilikuwa pamoja na mama na halati mdogowe mama. Niliendelea kulisasasasasa lile kaburi. Nikachomeka kijiti cha waridi. Jekundu upande uliolazwa kichwa cha marehemu. Nilipotupa ozi angani. Anga lilikuwa wazi huku jua. Likicheza danedane kwa hashuo. Pengine r... | Kifua cha nani hakifikwi kanchiri | cha mume | x |
4979_swa_2 | 4979_swa | Faraga Tulibaki pale maziarani kwa muda. Mrefu bila kutaamuli. Nilikuwa pamoja na mama na halati mdogowe mama. Niliendelea kulisasasasasa lile kaburi. Nikachomeka kijiti cha waridi. Jekundu upande uliolazwa kichwa cha marehemu. Nilipotupa ozi angani. Anga lilikuwa wazi huku jua. Likicheza danedane kwa hashuo. Pengine r... | Wenzao waliondoka lini hapo | kitambo | x |
4979_swa_3 | 4979_swa | Faraga Tulibaki pale maziarani kwa muda. Mrefu bila kutaamuli. Nilikuwa pamoja na mama na halati mdogowe mama. Niliendelea kulisasasasasa lile kaburi. Nikachomeka kijiti cha waridi. Jekundu upande uliolazwa kichwa cha marehemu. Nilipotupa ozi angani. Anga lilikuwa wazi huku jua. Likicheza danedane kwa hashuo. Pengine r... | Babake Zakani alikuwa mwenye uzuri wa nini | tende | x |
4979_swa_4 | 4979_swa | Faraga Tulibaki pale maziarani kwa muda. Mrefu bila kutaamuli. Nilikuwa pamoja na mama na halati mdogowe mama. Niliendelea kulisasasasasa lile kaburi. Nikachomeka kijiti cha waridi. Jekundu upande uliolazwa kichwa cha marehemu. Nilipotupa ozi angani. Anga lilikuwa wazi huku jua. Likicheza danedane kwa hashuo. Pengine r... | Mbona mameke Zakani alijipata akipigana na wanawake | ili kutetea haki yake | x |
4980_swa_0 | 4980_swa | KILIMO Ilikuwa jumamosi. Nikifika kwangu mnamo wa saa kumi na mbili. Unusu jioni. Tangu nistaafu miaka miwili. Awali sikupenda kuchelewa. Kusikiliza taarifa za habari. Mwezi mmoja ukawa umepita tangu. Nipewe kiinuamgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika. Shughuli za kulipa madeni. Hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza k... | Mwezi mmoja alikuwa katika shughuli za kulipa nini | madeni | x |
4980_swa_1 | 4980_swa | KILIMO Ilikuwa jumamosi. Nikifika kwangu mnamo wa saa kumi na mbili. Unusu jioni. Tangu nistaafu miaka miwili. Awali sikupenda kuchelewa. Kusikiliza taarifa za habari. Mwezi mmoja ukawa umepita tangu. Nipewe kiinuamgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika. Shughuli za kulipa madeni. Hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza k... | Watu wengi walimshauri ajaribu kilimo gani | cha mahindi | x |
4980_swa_2 | 4980_swa | KILIMO Ilikuwa jumamosi. Nikifika kwangu mnamo wa saa kumi na mbili. Unusu jioni. Tangu nistaafu miaka miwili. Awali sikupenda kuchelewa. Kusikiliza taarifa za habari. Mwezi mmoja ukawa umepita tangu. Nipewe kiinuamgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika. Shughuli za kulipa madeni. Hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza k... | Waziri alitangaza bei mpya lini katika taarifa ya habari | jioni hiyo | x |
4980_swa_3 | 4980_swa | KILIMO Ilikuwa jumamosi. Nikifika kwangu mnamo wa saa kumi na mbili. Unusu jioni. Tangu nistaafu miaka miwili. Awali sikupenda kuchelewa. Kusikiliza taarifa za habari. Mwezi mmoja ukawa umepita tangu. Nipewe kiinuamgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika. Shughuli za kulipa madeni. Hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza k... | Mbona usingizi ulimchukua kwa haraka | sababu ya uchovu | x |
4980_swa_4 | 4980_swa | KILIMO Ilikuwa jumamosi. Nikifika kwangu mnamo wa saa kumi na mbili. Unusu jioni. Tangu nistaafu miaka miwili. Awali sikupenda kuchelewa. Kusikiliza taarifa za habari. Mwezi mmoja ukawa umepita tangu. Nipewe kiinuamgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika. Shughuli za kulipa madeni. Hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza k... | Aliwaajiri nani wawafukuze korongo | vijana | x |
4981_swa_0 | 4981_swa | LUGHA YA KISWAHILI Lugha imekuwa kikwazo kikubwa. Katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano. Barani afrika. Lugha ambazo zimekuwa zikitumiwa. Ni za kimagharibi. Kama vile. Kijerumani. Kifaransa. Na kiingereza. Idadi kubwa ya waafrika. Hasa wanaishi. Vijijiji. Hawazifahamu lugha hizi. Uamuzi wa shirika la Micros... | Nini imekuwa kikwazo kikubwa katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano | Lugha | x |
4981_swa_1 | 4981_swa | LUGHA YA KISWAHILI Lugha imekuwa kikwazo kikubwa. Katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano. Barani afrika. Lugha ambazo zimekuwa zikitumiwa. Ni za kimagharibi. Kama vile. Kijerumani. Kifaransa. Na kiingereza. Idadi kubwa ya waafrika. Hasa wanaishi. Vijijiji. Hawazifahamu lugha hizi. Uamuzi wa shirika la Micros... | Wananchi wangapi wanafaidika na tarakilishi | Milioni mia hamsini | x |
4981_swa_2 | 4981_swa | LUGHA YA KISWAHILI Lugha imekuwa kikwazo kikubwa. Katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano. Barani afrika. Lugha ambazo zimekuwa zikitumiwa. Ni za kimagharibi. Kama vile. Kijerumani. Kifaransa. Na kiingereza. Idadi kubwa ya waafrika. Hasa wanaishi. Vijijiji. Hawazifahamu lugha hizi. Uamuzi wa shirika la Micros... | Ni nani kiongozi wa Microsoft | Billgates | x |
4981_swa_3 | 4981_swa | LUGHA YA KISWAHILI Lugha imekuwa kikwazo kikubwa. Katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano. Barani afrika. Lugha ambazo zimekuwa zikitumiwa. Ni za kimagharibi. Kama vile. Kijerumani. Kifaransa. Na kiingereza. Idadi kubwa ya waafrika. Hasa wanaishi. Vijijiji. Hawazifahamu lugha hizi. Uamuzi wa shirika la Micros... | Vyuo vikuu vinatoa masomo kwa kuatumia nini | Mitandao | x |
4981_swa_4 | 4981_swa | LUGHA YA KISWAHILI Lugha imekuwa kikwazo kikubwa. Katika kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano. Barani afrika. Lugha ambazo zimekuwa zikitumiwa. Ni za kimagharibi. Kama vile. Kijerumani. Kifaransa. Na kiingereza. Idadi kubwa ya waafrika. Hasa wanaishi. Vijijiji. Hawazifahamu lugha hizi. Uamuzi wa shirika la Micros... | Kwa nini ni muhimu kupunguza bei ya ngamizi na vipuri vyake | Ili kuwatia watu motisha wa kutumia kompyuta kwa wingi | x |
4982_swa_0 | 4982_swa | Madhara ya Sukari Watu wengi hawawezi kunywa chai. Au uji bila kutia sukari. Wanatumia sukari Kwa hamu na ghamu. Bila kutambua kuwa hiyo. Ni sumu wanayojiongezea mwilini. Ni ukweli usiopingika kuwa. Wazee wetu wa jadi. Waliishi muda mrefu. Wakiwa na siha njema kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa. Waliishi katika kipindi ambac... | Watu wengi hawawezi kunywa chai ama uji bila nini | Sukari | x |
4982_swa_1 | 4982_swa | Madhara ya Sukari Watu wengi hawawezi kunywa chai. Au uji bila kutia sukari. Wanatumia sukari Kwa hamu na ghamu. Bila kutambua kuwa hiyo. Ni sumu wanayojiongezea mwilini. Ni ukweli usiopingika kuwa. Wazee wetu wa jadi. Waliishi muda mrefu. Wakiwa na siha njema kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa. Waliishi katika kipindi ambac... | Sukari nyeupe imehusishwa na ongezeko la maradhi yapi | kisukari | x |
4982_swa_2 | 4982_swa | Madhara ya Sukari Watu wengi hawawezi kunywa chai. Au uji bila kutia sukari. Wanatumia sukari Kwa hamu na ghamu. Bila kutambua kuwa hiyo. Ni sumu wanayojiongezea mwilini. Ni ukweli usiopingika kuwa. Wazee wetu wa jadi. Waliishi muda mrefu. Wakiwa na siha njema kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa. Waliishi katika kipindi ambac... | Sukari gani ni bora kwa mwili wa binadamu | Asali | x |
4982_swa_3 | 4982_swa | Madhara ya Sukari Watu wengi hawawezi kunywa chai. Au uji bila kutia sukari. Wanatumia sukari Kwa hamu na ghamu. Bila kutambua kuwa hiyo. Ni sumu wanayojiongezea mwilini. Ni ukweli usiopingika kuwa. Wazee wetu wa jadi. Waliishi muda mrefu. Wakiwa na siha njema kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa. Waliishi katika kipindi ambac... | HuwezaNini huzidisha kiwango cha himoglobini | Asali | x |
4982_swa_4 | 4982_swa | Madhara ya Sukari Watu wengi hawawezi kunywa chai. Au uji bila kutia sukari. Wanatumia sukari Kwa hamu na ghamu. Bila kutambua kuwa hiyo. Ni sumu wanayojiongezea mwilini. Ni ukweli usiopingika kuwa. Wazee wetu wa jadi. Waliishi muda mrefu. Wakiwa na siha njema kuliko sisi. Hii ni kwa kuwa. Waliishi katika kipindi ambac... | Ni vipi asali inasaidia kwa ngozi | Asali hutunza ngozi | x |
4983_swa_0 | 4983_swa | MAJUKUMU YA UZAZI Tangu jadi jukumu la mzazi lilikuwa kumalea mwanae. Baada ya ujaa uzito, mama alikuwa ana mkumbatia mwanawe. Amuelekeze. Amuonyeshe njia. Amuadhibu akikosa. Lakini katika karne hii mambo yamekuwa butu. Changamoto za kuwa mzazi zimekuwa mingi mno. Wengi wameshindwa kuwa wazi wenye hekima. Taadhima ya u... | Jukumu la kumlea mwana ni la nani | Mzazi | x |
4983_swa_1 | 4983_swa | MAJUKUMU YA UZAZI Tangu jadi jukumu la mzazi lilikuwa kumalea mwanae. Baada ya ujaa uzito, mama alikuwa ana mkumbatia mwanawe. Amuelekeze. Amuonyeshe njia. Amuadhibu akikosa. Lakini katika karne hii mambo yamekuwa butu. Changamoto za kuwa mzazi zimekuwa mingi mno. Wengi wameshindwa kuwa wazi wenye hekima. Taadhima ya u... | Baada ya ujauzito mama alikuwa na jukumu lipi | Kumwelekeza mwanawe | x |
4983_swa_2 | 4983_swa | MAJUKUMU YA UZAZI Tangu jadi jukumu la mzazi lilikuwa kumalea mwanae. Baada ya ujaa uzito, mama alikuwa ana mkumbatia mwanawe. Amuelekeze. Amuonyeshe njia. Amuadhibu akikosa. Lakini katika karne hii mambo yamekuwa butu. Changamoto za kuwa mzazi zimekuwa mingi mno. Wengi wameshindwa kuwa wazi wenye hekima. Taadhima ya u... | Chakula cha watoto wetu imekuwa ni nini | Mihadarati | x |
4983_swa_3 | 4983_swa | MAJUKUMU YA UZAZI Tangu jadi jukumu la mzazi lilikuwa kumalea mwanae. Baada ya ujaa uzito, mama alikuwa ana mkumbatia mwanawe. Amuelekeze. Amuonyeshe njia. Amuadhibu akikosa. Lakini katika karne hii mambo yamekuwa butu. Changamoto za kuwa mzazi zimekuwa mingi mno. Wengi wameshindwa kuwa wazi wenye hekima. Taadhima ya u... | Wazazi wana nafasi gani katika ukuaji wa watoto wao | Nguzo | x |
4983_swa_4 | 4983_swa | MAJUKUMU YA UZAZI Tangu jadi jukumu la mzazi lilikuwa kumalea mwanae. Baada ya ujaa uzito, mama alikuwa ana mkumbatia mwanawe. Amuelekeze. Amuonyeshe njia. Amuadhibu akikosa. Lakini katika karne hii mambo yamekuwa butu. Changamoto za kuwa mzazi zimekuwa mingi mno. Wengi wameshindwa kuwa wazi wenye hekima. Taadhima ya u... | Ni jambo lipi kaktika kuwapotosha watoto | Haki za watoto | x |
4986_swa_0 | 4986_swa | Maskini Na Tajiri Pale kale palikuwa na mtu mmoja. Maskini sana. Riziki yake kubwa ilikuwa . Ni mikate aliyookota. Kutoka jalalani. Katika mtaa huo huo. Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye. Kwake kulipikiwa nyama. Za kila aina. Zenye kuvutia mapua. Basi kila adhuhuri maskini. Alienda nje ya nyumba. Ya tajiri huyu. Akitumia... | Kwake tajiri kulipikiwa nini | Nyama za kila aina | x |
4986_swa_1 | 4986_swa | Maskini Na Tajiri Pale kale palikuwa na mtu mmoja. Maskini sana. Riziki yake kubwa ilikuwa . Ni mikate aliyookota. Kutoka jalalani. Katika mtaa huo huo. Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye. Kwake kulipikiwa nyama. Za kila aina. Zenye kuvutia mapua. Basi kila adhuhuri maskini. Alienda nje ya nyumba. Ya tajiri huyu. Akitumia... | Riziki ya maskini ilikuwa ipi | Mikate aliyookota kutoka jalalani | x |
4986_swa_2 | 4986_swa | Maskini Na Tajiri Pale kale palikuwa na mtu mmoja. Maskini sana. Riziki yake kubwa ilikuwa . Ni mikate aliyookota. Kutoka jalalani. Katika mtaa huo huo. Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye. Kwake kulipikiwa nyama. Za kila aina. Zenye kuvutia mapua. Basi kila adhuhuri maskini. Alienda nje ya nyumba. Ya tajiri huyu. Akitumia... | Tajiri aliita nani kumkamata maskini | Watumishi | x |
4986_swa_3 | 4986_swa | Maskini Na Tajiri Pale kale palikuwa na mtu mmoja. Maskini sana. Riziki yake kubwa ilikuwa . Ni mikate aliyookota. Kutoka jalalani. Katika mtaa huo huo. Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye. Kwake kulipikiwa nyama. Za kila aina. Zenye kuvutia mapua. Basi kila adhuhuri maskini. Alienda nje ya nyumba. Ya tajiri huyu. Akitumia... | Tajiri aliomba kulipwa pesa ngapi | Shilingi ishirini | x |
4986_swa_4 | 4986_swa | Maskini Na Tajiri Pale kale palikuwa na mtu mmoja. Maskini sana. Riziki yake kubwa ilikuwa . Ni mikate aliyookota. Kutoka jalalani. Katika mtaa huo huo. Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye. Kwake kulipikiwa nyama. Za kila aina. Zenye kuvutia mapua. Basi kila adhuhuri maskini. Alienda nje ya nyumba. Ya tajiri huyu. Akitumia... | Maskini alikamatwa na watumishi wa Tajiri na kupelekwa wapi | Kwa Jumbe | x |
4988_swa_0 | 4988_swa | MSIBA WA KUJITAKIA Dunia ni mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inakisiwa kuwa baada ya maumbo yote kutendeka, mwanadamu aliekwa dunia ili pawe kwake pa kuishi. Mwanadamu akapewa amri kuwa ailinde dunia. Lakini hili agizo limegeuzwa. Mwanadamu ameunda njama zake ili kuiharibu dunia. Hizi njama zinahusishwa na mie... | Ni wapi mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. | Dunia | x |
4988_swa_1 | 4988_swa | MSIBA WA KUJITAKIA Dunia ni mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inakisiwa kuwa baada ya maumbo yote kutendeka, mwanadamu aliekwa dunia ili pawe kwake pa kuishi. Mwanadamu akapewa amri kuwa ailinde dunia. Lakini hili agizo limegeuzwa. Mwanadamu ameunda njama zake ili kuiharibu dunia. Hizi njama zinahusishwa na mie... | Ni nini zimeathiri maziwa mengi nchini | Kemikali | x |
4988_swa_2 | 4988_swa | MSIBA WA KUJITAKIA Dunia ni mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inakisiwa kuwa baada ya maumbo yote kutendeka, mwanadamu aliekwa dunia ili pawe kwake pa kuishi. Mwanadamu akapewa amri kuwa ailinde dunia. Lakini hili agizo limegeuzwa. Mwanadamu ameunda njama zake ili kuiharibu dunia. Hizi njama zinahusishwa na mie... | Nini ya siku hizi ni kama sumu. | Mvua | x |
4988_swa_3 | 4988_swa | MSIBA WA KUJITAKIA Dunia ni mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inakisiwa kuwa baada ya maumbo yote kutendeka, mwanadamu aliekwa dunia ili pawe kwake pa kuishi. Mwanadamu akapewa amri kuwa ailinde dunia. Lakini hili agizo limegeuzwa. Mwanadamu ameunda njama zake ili kuiharibu dunia. Hizi njama zinahusishwa na mie... | Nini huangamizwa na Kemikali | Viumbe | x |
4988_swa_4 | 4988_swa | MSIBA WA KUJITAKIA Dunia ni mahali muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inakisiwa kuwa baada ya maumbo yote kutendeka, mwanadamu aliekwa dunia ili pawe kwake pa kuishi. Mwanadamu akapewa amri kuwa ailinde dunia. Lakini hili agizo limegeuzwa. Mwanadamu ameunda njama zake ili kuiharibu dunia. Hizi njama zinahusishwa na mie... | Kwa nini samaki wanaobaki baharini sio sawa kwa matumizi | Kwa sababu ya kemikali zinazotupwa maziwani | x |
4989_swa_0 | 4989_swa | Mti Shamba Salaam aleikum. Ndugu yangu. Aleikum salaam. Shikamoo mzee. Marahaba. Alfajiri hii mnapelekana wapi. Kijana anaugua. Tunatafuta tiba ya kienyeji. Uganga wa kienyeji utaupata wapi zama hizi. Kwani wewe humfahamu kunyangalipua. Mimi nilifikiri ameangamizwa na uganga wa kisasa. Kumbe bado yupo. Yupo tena sifa z... | Nani hawana ujuzi. | Waganga | x |
4989_swa_1 | 4989_swa | Mti Shamba Salaam aleikum. Ndugu yangu. Aleikum salaam. Shikamoo mzee. Marahaba. Alfajiri hii mnapelekana wapi. Kijana anaugua. Tunatafuta tiba ya kienyeji. Uganga wa kienyeji utaupata wapi zama hizi. Kwani wewe humfahamu kunyangalipua. Mimi nilifikiri ameangamizwa na uganga wa kisasa. Kumbe bado yupo. Yupo tena sifa z... | Tiba ipi udhaifu | Kienyeji | x |
4989_swa_2 | 4989_swa | Mti Shamba Salaam aleikum. Ndugu yangu. Aleikum salaam. Shikamoo mzee. Marahaba. Alfajiri hii mnapelekana wapi. Kijana anaugua. Tunatafuta tiba ya kienyeji. Uganga wa kienyeji utaupata wapi zama hizi. Kwani wewe humfahamu kunyangalipua. Mimi nilifikiri ameangamizwa na uganga wa kisasa. Kumbe bado yupo. Yupo tena sifa z... | Waganga wengine hudai hata nini | ng'ombe | x |
4989_swa_3 | 4989_swa | Mti Shamba Salaam aleikum. Ndugu yangu. Aleikum salaam. Shikamoo mzee. Marahaba. Alfajiri hii mnapelekana wapi. Kijana anaugua. Tunatafuta tiba ya kienyeji. Uganga wa kienyeji utaupata wapi zama hizi. Kwani wewe humfahamu kunyangalipua. Mimi nilifikiri ameangamizwa na uganga wa kisasa. Kumbe bado yupo. Yupo tena sifa z... | Waganga hushirikiana na taasisi zipi | utafiti | x |
4989_swa_4 | 4989_swa | Mti Shamba Salaam aleikum. Ndugu yangu. Aleikum salaam. Shikamoo mzee. Marahaba. Alfajiri hii mnapelekana wapi. Kijana anaugua. Tunatafuta tiba ya kienyeji. Uganga wa kienyeji utaupata wapi zama hizi. Kwani wewe humfahamu kunyangalipua. Mimi nilifikiri ameangamizwa na uganga wa kisasa. Kumbe bado yupo. Yupo tena sifa z... | Kwa nini mashirika makubwa yanashauri kuimarishwa kwa tiba asili | Ili itumike sambamba na mbinu za kisasa za matibabu | x |
4990_swa_0 | 4990_swa | Stawi za Nchi Zinazokua Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu huathirika. Na biashara ya kimataifa . Biashara hiyo inaweza kuwa inafanywa kwa uagizaji . Ama uuzaji wa bidhaa kwa nchi nyingine. Biashara ya kimataifa ina umuhimu mkubwa. Kwanza . Inawezesha nchi kupata bidhaa . Ambazo haizitengenezi. Mbali na kusaidia kuwepo u... | Biashara ipi ina umuhimu mkubwa | kimataifa | x |
4990_swa_1 | 4990_swa | Stawi za Nchi Zinazokua Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu huathirika. Na biashara ya kimataifa . Biashara hiyo inaweza kuwa inafanywa kwa uagizaji . Ama uuzaji wa bidhaa kwa nchi nyingine. Biashara ya kimataifa ina umuhimu mkubwa. Kwanza . Inawezesha nchi kupata bidhaa . Ambazo haizitengenezi. Mbali na kusaidia kuwepo u... | Japan na Korea zinaongoza katika utengenezaji wa bidhaa za zipi | elektoniki | x |
4990_swa_2 | 4990_swa | Stawi za Nchi Zinazokua Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu huathirika. Na biashara ya kimataifa . Biashara hiyo inaweza kuwa inafanywa kwa uagizaji . Ama uuzaji wa bidhaa kwa nchi nyingine. Biashara ya kimataifa ina umuhimu mkubwa. Kwanza . Inawezesha nchi kupata bidhaa . Ambazo haizitengenezi. Mbali na kusaidia kuwepo u... | Kenya nayo ni maarufu wa uzalishaji wa majani ipi | Chai | x |
4990_swa_3 | 4990_swa | Stawi za Nchi Zinazokua Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu huathirika. Na biashara ya kimataifa . Biashara hiyo inaweza kuwa inafanywa kwa uagizaji . Ama uuzaji wa bidhaa kwa nchi nyingine. Biashara ya kimataifa ina umuhimu mkubwa. Kwanza . Inawezesha nchi kupata bidhaa . Ambazo haizitengenezi. Mbali na kusaidia kuwepo u... | Urafiki haukosi nini | mikosi | x |
4990_swa_4 | 4990_swa | Stawi za Nchi Zinazokua Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu huathirika. Na biashara ya kimataifa . Biashara hiyo inaweza kuwa inafanywa kwa uagizaji . Ama uuzaji wa bidhaa kwa nchi nyingine. Biashara ya kimataifa ina umuhimu mkubwa. Kwanza . Inawezesha nchi kupata bidhaa . Ambazo haizitengenezi. Mbali na kusaidia kuwepo u... | serikali inalinda viwanda vichanga kwa njia gani | Kwa kuweka ushuru wa juu kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje. | x |
4991_swa_0 | 4991_swa | Ugeni Shuleni Tulifika alfajiri na mapema baada ya kusafiri usiku kucha. Tulifahamishwa na mlinda lango kuwa sisi ndio tulikuwa wa kwanza. Tulikuwa ba furaha sifufu. Tuliwaona vijana wakiwa wanakimbia. Kama mbwa afukuzaye kitoweo. Walikuwa wakielekea darasani. Kwa vijana wengi. Ilikuwa ndio siku yao ya kwanza kufika pa... | Jambo lipi liwatia hofu vijana | Kuwa katika mazingira mapya | x |
4991_swa_1 | 4991_swa | Ugeni Shuleni Tulifika alfajiri na mapema baada ya kusafiri usiku kucha. Tulifahamishwa na mlinda lango kuwa sisi ndio tulikuwa wa kwanza. Tulikuwa ba furaha sifufu. Tuliwaona vijana wakiwa wanakimbia. Kama mbwa afukuzaye kitoweo. Walikuwa wakielekea darasani. Kwa vijana wengi. Ilikuwa ndio siku yao ya kwanza kufika pa... | Vijana hawa walikadiria kukaa hapa kwa muda gani | Miaka minne | x |
4991_swa_2 | 4991_swa | Ugeni Shuleni Tulifika alfajiri na mapema baada ya kusafiri usiku kucha. Tulifahamishwa na mlinda lango kuwa sisi ndio tulikuwa wa kwanza. Tulikuwa ba furaha sifufu. Tuliwaona vijana wakiwa wanakimbia. Kama mbwa afukuzaye kitoweo. Walikuwa wakielekea darasani. Kwa vijana wengi. Ilikuwa ndio siku yao ya kwanza kufika pa... | Vijana walikuwa wameandamana na nani | Wazazi wao | x |
4991_swa_3 | 4991_swa | Ugeni Shuleni Tulifika alfajiri na mapema baada ya kusafiri usiku kucha. Tulifahamishwa na mlinda lango kuwa sisi ndio tulikuwa wa kwanza. Tulikuwa ba furaha sifufu. Tuliwaona vijana wakiwa wanakimbia. Kama mbwa afukuzaye kitoweo. Walikuwa wakielekea darasani. Kwa vijana wengi. Ilikuwa ndio siku yao ya kwanza kufika pa... | Vijana walisubiri nani kuwaelekeza siku ile | Mwalimu mkuu | x |
4991_swa_4 | 4991_swa | Ugeni Shuleni Tulifika alfajiri na mapema baada ya kusafiri usiku kucha. Tulifahamishwa na mlinda lango kuwa sisi ndio tulikuwa wa kwanza. Tulikuwa ba furaha sifufu. Tuliwaona vijana wakiwa wanakimbia. Kama mbwa afukuzaye kitoweo. Walikuwa wakielekea darasani. Kwa vijana wengi. Ilikuwa ndio siku yao ya kwanza kufika pa... | Kengele iliyopigwa iliashiria nini | Mapumziko ya chai | x |
4992_swa_0 | 4992_swa | UKANDAJI MWILI Je? Unajua kuwa ukandaji wa mwili. Imetumika kama njia mojawapo ya matibabu. Kutoka dahari. Watu wanaofahamika kutumia ukandaji. Kimatibabu kutoka jadi ni wahindi. Wachina. Wagiriki. Warumi. Na waafrika. Ukandaji. Ambao ni shughuli ya kusonga. Kusugua. Na kubinyabinya viungo vya mwili. Kwa mkono . Au mas... | Taja baadhi ya jamii zilizotumia ukandaji tangu jadi | Wahindi, wachina, wagiriki na warumi | x |
4992_swa_1 | 4992_swa | UKANDAJI MWILI Je? Unajua kuwa ukandaji wa mwili. Imetumika kama njia mojawapo ya matibabu. Kutoka dahari. Watu wanaofahamika kutumia ukandaji. Kimatibabu kutoka jadi ni wahindi. Wachina. Wagiriki. Warumi. Na waafrika. Ukandaji. Ambao ni shughuli ya kusonga. Kusugua. Na kubinyabinya viungo vya mwili. Kwa mkono . Au mas... | Taja manufa moja ya ukandaji wa mwili | Hufungu vitundu vya ngozi ili kuonda sumu mwilini | x |
4992_swa_2 | 4992_swa | UKANDAJI MWILI Je? Unajua kuwa ukandaji wa mwili. Imetumika kama njia mojawapo ya matibabu. Kutoka dahari. Watu wanaofahamika kutumia ukandaji. Kimatibabu kutoka jadi ni wahindi. Wachina. Wagiriki. Warumi. Na waafrika. Ukandaji. Ambao ni shughuli ya kusonga. Kusugua. Na kubinyabinya viungo vya mwili. Kwa mkono . Au mas... | Ni mafuta gani bora zaidi kwa ukandaji wa mwili | Ufuta au simsim | x |
4992_swa_3 | 4992_swa | UKANDAJI MWILI Je? Unajua kuwa ukandaji wa mwili. Imetumika kama njia mojawapo ya matibabu. Kutoka dahari. Watu wanaofahamika kutumia ukandaji. Kimatibabu kutoka jadi ni wahindi. Wachina. Wagiriki. Warumi. Na waafrika. Ukandaji. Ambao ni shughuli ya kusonga. Kusugua. Na kubinyabinya viungo vya mwili. Kwa mkono . Au mas... | Ni nini haipendekezwi katika shughuli za ukandaji | Matumizi ya kitu chochote kama ungaunga kv huziba vitundu vya ngozi | x |
4992_swa_4 | 4992_swa | UKANDAJI MWILI Je? Unajua kuwa ukandaji wa mwili. Imetumika kama njia mojawapo ya matibabu. Kutoka dahari. Watu wanaofahamika kutumia ukandaji. Kimatibabu kutoka jadi ni wahindi. Wachina. Wagiriki. Warumi. Na waafrika. Ukandaji. Ambao ni shughuli ya kusonga. Kusugua. Na kubinyabinya viungo vya mwili. Kwa mkono . Au mas... | Unaazia wapi katika shughuli za ukandaji mwili | Mikono | x |
4994_swa_0 | 4994_swa | USHAIRI Katika karatasi ya tatu. Mtihani wa kidato cha nne. Huwa kuna swali la ushairi. Ambalo ni lazima kufanya mojawapo. Mwanafunzi anaweza kuyashughulikia mashairi haya yote. Ama akachagua shairi moja. Kwa kawaida. Mwanafunzi huhitajika kuwa. Amejimudu katika kuchambua mashairi . Ya aina na mikondo mbalimbali. Lakin... | Ushairi huwa katika karatasi gani ya mtihani | ya tatu | x |
4994_swa_1 | 4994_swa | USHAIRI Katika karatasi ya tatu. Mtihani wa kidato cha nne. Huwa kuna swali la ushairi. Ambalo ni lazima kufanya mojawapo. Mwanafunzi anaweza kuyashughulikia mashairi haya yote. Ama akachagua shairi moja. Kwa kawaida. Mwanafunzi huhitajika kuwa. Amejimudu katika kuchambua mashairi . Ya aina na mikondo mbalimbali. Lakin... | Swali la kuandika ubeti kwa lugha ya nathari halikosi lini | kila mwaka | x |
4994_swa_2 | 4994_swa | USHAIRI Katika karatasi ya tatu. Mtihani wa kidato cha nne. Huwa kuna swali la ushairi. Ambalo ni lazima kufanya mojawapo. Mwanafunzi anaweza kuyashughulikia mashairi haya yote. Ama akachagua shairi moja. Kwa kawaida. Mwanafunzi huhitajika kuwa. Amejimudu katika kuchambua mashairi . Ya aina na mikondo mbalimbali. Lakin... | Nani huhitajika kulielewa shairi lenyewe | mwanafunzi | x |
4994_swa_3 | 4994_swa | USHAIRI Katika karatasi ya tatu. Mtihani wa kidato cha nne. Huwa kuna swali la ushairi. Ambalo ni lazima kufanya mojawapo. Mwanafunzi anaweza kuyashughulikia mashairi haya yote. Ama akachagua shairi moja. Kwa kawaida. Mwanafunzi huhitajika kuwa. Amejimudu katika kuchambua mashairi . Ya aina na mikondo mbalimbali. Lakin... | Wanafunzi hutatizika kuchambua nini | mashairi | x |
4994_swa_4 | 4994_swa | USHAIRI Katika karatasi ya tatu. Mtihani wa kidato cha nne. Huwa kuna swali la ushairi. Ambalo ni lazima kufanya mojawapo. Mwanafunzi anaweza kuyashughulikia mashairi haya yote. Ama akachagua shairi moja. Kwa kawaida. Mwanafunzi huhitajika kuwa. Amejimudu katika kuchambua mashairi . Ya aina na mikondo mbalimbali. Lakin... | Mbona unastahili kushughulikia mashairi mepesi mepesi kabla ya mazito | ili kuweza kuchochea uandishi | x |
4996_swa_0 | 4996_swa | Ripoti ya shughuli za chama cha kiswahili katika shule ya muhila. Utangulizi. Chama cha kiswahili. Kilianzishwa mwaka wa elfu mbili shuleni humu. Tangu mwaka huo. Chama hiki kimekuwa . Shughuli nyingi sana. Mwaka huu. Chama hiki kimefaulu kupata mafanikio . Makubwa zaidi. Kwa sababu hii. Usimamizi wa shuke ulionelea ku... | Chama cha Kiswahili kilianzishwa lini shuleni humu | mwaka wa elfu mbili | x |
4996_swa_1 | 4996_swa | Ripoti ya shughuli za chama cha kiswahili katika shule ya muhila. Utangulizi. Chama cha kiswahili. Kilianzishwa mwaka wa elfu mbili shuleni humu. Tangu mwaka huo. Chama hiki kimekuwa . Shughuli nyingi sana. Mwaka huu. Chama hiki kimefaulu kupata mafanikio . Makubwa zaidi. Kwa sababu hii. Usimamizi wa shuke ulionelea ku... | Wanajopo saba walipewa jukumu la kufanya nini | utafiti | x |
4996_swa_2 | 4996_swa | Ripoti ya shughuli za chama cha kiswahili katika shule ya muhila. Utangulizi. Chama cha kiswahili. Kilianzishwa mwaka wa elfu mbili shuleni humu. Tangu mwaka huo. Chama hiki kimekuwa . Shughuli nyingi sana. Mwaka huu. Chama hiki kimefaulu kupata mafanikio . Makubwa zaidi. Kwa sababu hii. Usimamizi wa shuke ulionelea ku... | Nani walishirikishwa kutoa maoni yao | wanachama | x |
4996_swa_3 | 4996_swa | Ripoti ya shughuli za chama cha kiswahili katika shule ya muhila. Utangulizi. Chama cha kiswahili. Kilianzishwa mwaka wa elfu mbili shuleni humu. Tangu mwaka huo. Chama hiki kimekuwa . Shughuli nyingi sana. Mwaka huu. Chama hiki kimefaulu kupata mafanikio . Makubwa zaidi. Kwa sababu hii. Usimamizi wa shuke ulionelea ku... | Waliandika mchezo wa kuigiza wenye kichwa gani | Tunda Utundwe | x |
4996_swa_4 | 4996_swa | Ripoti ya shughuli za chama cha kiswahili katika shule ya muhila. Utangulizi. Chama cha kiswahili. Kilianzishwa mwaka wa elfu mbili shuleni humu. Tangu mwaka huo. Chama hiki kimekuwa . Shughuli nyingi sana. Mwaka huu. Chama hiki kimefaulu kupata mafanikio . Makubwa zaidi. Kwa sababu hii. Usimamizi wa shuke ulionelea ku... | Mbona mchezo wa kuigiza ulinuiwa kuwahamasisha wanafunzi | ila waweze kutambua hila hizo | x |
4998_swa_0 | 4998_swa | Taabu ya Maisha. Tom, jina alilolipenda sana, alizaliwa miaka ya tisini katika gatuzi la Kuwetu. Jimbo dogo la Mazingo. Kata na kata ndogo ya Mbugu na kijiji cha Tezo. Alisomea shule ya msingi ya Tezo. Alipofaulu, alijiunga na shule ya upili ya Tsunza, kwa changamoto si haba. Baada ya kujiunga ( mwishoni mwa muhula wa ... | Tom alizaliwa wapi | Katika jimbo la mazingo | x |
4998_swa_1 | 4998_swa | Taabu ya Maisha. Tom, jina alilolipenda sana, alizaliwa miaka ya tisini katika gatuzi la Kuwetu. Jimbo dogo la Mazingo. Kata na kata ndogo ya Mbugu na kijiji cha Tezo. Alisomea shule ya msingi ya Tezo. Alipofaulu, alijiunga na shule ya upili ya Tsunza, kwa changamoto si haba. Baada ya kujiunga ( mwishoni mwa muhula wa ... | Tom alizaliwa lini | Miaka ya tisini | x |
4998_swa_2 | 4998_swa | Taabu ya Maisha. Tom, jina alilolipenda sana, alizaliwa miaka ya tisini katika gatuzi la Kuwetu. Jimbo dogo la Mazingo. Kata na kata ndogo ya Mbugu na kijiji cha Tezo. Alisomea shule ya msingi ya Tezo. Alipofaulu, alijiunga na shule ya upili ya Tsunza, kwa changamoto si haba. Baada ya kujiunga ( mwishoni mwa muhula wa ... | Tom alijiunga na chuo kikuu kipi | Liwato | x |
4998_swa_3 | 4998_swa | Taabu ya Maisha. Tom, jina alilolipenda sana, alizaliwa miaka ya tisini katika gatuzi la Kuwetu. Jimbo dogo la Mazingo. Kata na kata ndogo ya Mbugu na kijiji cha Tezo. Alisomea shule ya msingi ya Tezo. Alipofaulu, alijiunga na shule ya upili ya Tsunza, kwa changamoto si haba. Baada ya kujiunga ( mwishoni mwa muhula wa ... | Tom alisomea kozi gani chuoni | Ya ualimu | x |
4998_swa_4 | 4998_swa | Taabu ya Maisha. Tom, jina alilolipenda sana, alizaliwa miaka ya tisini katika gatuzi la Kuwetu. Jimbo dogo la Mazingo. Kata na kata ndogo ya Mbugu na kijiji cha Tezo. Alisomea shule ya msingi ya Tezo. Alipofaulu, alijiunga na shule ya upili ya Tsunza, kwa changamoto si haba. Baada ya kujiunga ( mwishoni mwa muhula wa ... | Kwa nini Tom alisitisha masomo yake kwa muda | Ili atafuta mkono utakaomsaidia masomoni | x |
5001_swa_0 | 5001_swa | UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa uliovuma sana. Inasemekana gonjwa hili liliweza kutokea miaka hiyo ya awali. Mwanzo gonjwa hili lilikuwa likiwakula watu bila huruma. Liliacha wengi kukonda na kukondeana. Sisemi kama ng'onda. Je, umewahi jua Ukimwi unamanisha nini? Na je, unajua njia ya ukimwi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja h... | Ugonjwa wa ukimwi ulitokea lini | miaka hio ya awali | x |
5001_swa_1 | 5001_swa | UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa uliovuma sana. Inasemekana gonjwa hili liliweza kutokea miaka hiyo ya awali. Mwanzo gonjwa hili lilikuwa likiwakula watu bila huruma. Liliacha wengi kukonda na kukondeana. Sisemi kama ng'onda. Je, umewahi jua Ukimwi unamanisha nini? Na je, unajua njia ya ukimwi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja h... | Nani waliwekwa ndani ya miili yetu | askari | x |
5001_swa_2 | 5001_swa | UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa uliovuma sana. Inasemekana gonjwa hili liliweza kutokea miaka hiyo ya awali. Mwanzo gonjwa hili lilikuwa likiwakula watu bila huruma. Liliacha wengi kukonda na kukondeana. Sisemi kama ng'onda. Je, umewahi jua Ukimwi unamanisha nini? Na je, unajua njia ya ukimwi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja h... | Askari hao hulinda mwili kutokana na nini | magonjwa | x |
5001_swa_3 | 5001_swa | UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa uliovuma sana. Inasemekana gonjwa hili liliweza kutokea miaka hiyo ya awali. Mwanzo gonjwa hili lilikuwa likiwakula watu bila huruma. Liliacha wengi kukonda na kukondeana. Sisemi kama ng'onda. Je, umewahi jua Ukimwi unamanisha nini? Na je, unajua njia ya ukimwi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja h... | Mbona kina dada husema heri ukimwi kuliko mimba | ukimwi mtu hawezi jua uko nao | x |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.