id
string
story_id
string
context
string
question
string
answer
string
paragraph_id
string
5001_swa_4
5001_swa
UKIMWI Ukimwi ni ugonjwa uliovuma sana. Inasemekana gonjwa hili liliweza kutokea miaka hiyo ya awali. Mwanzo gonjwa hili lilikuwa likiwakula watu bila huruma. Liliacha wengi kukonda na kukondeana. Sisemi kama ng'onda. Je, umewahi jua Ukimwi unamanisha nini? Na je, unajua njia ya ukimwi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja h...
Ukimwi huathiri sana mfumo gani
wa kinga
x
5003_swa_0
5003_swa
HARUSI. Siku hiyo. Tuliamka asubuhi sana. Pengine tuseme, asubuhi mbichi. Ilikuwa siku ya Jumamosi. Tulikuwa tunajiandaa kwa ajili ya harusi ya kakangu, Richard. Ni siku ambayo sote tulikuwa tumeisubiri kwa hamu kuu. Waswahili husema. Hamu na ghamu. Siku ambayo ilikuwa imepangwa kwa muda mrefu. Muda wa zaidi ya miaka m...
Lini waliamka asubuhi sana Jumamosi
Jumamosi
x
5003_swa_1
5003_swa
HARUSI. Siku hiyo. Tuliamka asubuhi sana. Pengine tuseme, asubuhi mbichi. Ilikuwa siku ya Jumamosi. Tulikuwa tunajiandaa kwa ajili ya harusi ya kakangu, Richard. Ni siku ambayo sote tulikuwa tumeisubiri kwa hamu kuu. Waswahili husema. Hamu na ghamu. Siku ambayo ilikuwa imepangwa kwa muda mrefu. Muda wa zaidi ya miaka m...
Kakake msimulizi anaitwa nani
Richard
x
5003_swa_2
5003_swa
HARUSI. Siku hiyo. Tuliamka asubuhi sana. Pengine tuseme, asubuhi mbichi. Ilikuwa siku ya Jumamosi. Tulikuwa tunajiandaa kwa ajili ya harusi ya kakangu, Richard. Ni siku ambayo sote tulikuwa tumeisubiri kwa hamu kuu. Waswahili husema. Hamu na ghamu. Siku ambayo ilikuwa imepangwa kwa muda mrefu. Muda wa zaidi ya miaka m...
Kipendacho roho ni nini
dawa
x
5003_swa_3
5003_swa
HARUSI. Siku hiyo. Tuliamka asubuhi sana. Pengine tuseme, asubuhi mbichi. Ilikuwa siku ya Jumamosi. Tulikuwa tunajiandaa kwa ajili ya harusi ya kakangu, Richard. Ni siku ambayo sote tulikuwa tumeisubiri kwa hamu kuu. Waswahili husema. Hamu na ghamu. Siku ambayo ilikuwa imepangwa kwa muda mrefu. Muda wa zaidi ya miaka m...
Richard alivalishwa suruali ya rangi gani
ya bluu
x
5003_swa_4
5003_swa
HARUSI. Siku hiyo. Tuliamka asubuhi sana. Pengine tuseme, asubuhi mbichi. Ilikuwa siku ya Jumamosi. Tulikuwa tunajiandaa kwa ajili ya harusi ya kakangu, Richard. Ni siku ambayo sote tulikuwa tumeisubiri kwa hamu kuu. Waswahili husema. Hamu na ghamu. Siku ambayo ilikuwa imepangwa kwa muda mrefu. Muda wa zaidi ya miaka m...
Mbona msimulizi alimsongea Richard karibu
ili amtakie kila la heri
x
5004_swa_0
5004_swa
SITASAHAU Ilikuwa ni siku ya Ijumaa. Niliamka asubuhi na mapema, ilinijiandae kwenda shuleni. Nilikuwa katika kidato cha pili. Nilisomea katika shule ya upili ya Utubora. Shule hii ilikuwa miongoni mwa shule bora zaidi katika Wilaya ya KwetuKwema. Ilisifiwa kwa kila kitu. Si mchezo, si masomo, si mashairi, si kwa mziki...
Msimulizi alisomea shule ipi ya upili
Shule ya upili ya utuboora
x
5004_swa_1
5004_swa
SITASAHAU Ilikuwa ni siku ya Ijumaa. Niliamka asubuhi na mapema, ilinijiandae kwenda shuleni. Nilikuwa katika kidato cha pili. Nilisomea katika shule ya upili ya Utubora. Shule hii ilikuwa miongoni mwa shule bora zaidi katika Wilaya ya KwetuKwema. Ilisifiwa kwa kila kitu. Si mchezo, si masomo, si mashairi, si kwa mziki...
Walimu wetu hawakupenda nini
Uzembe
x
5004_swa_2
5004_swa
SITASAHAU Ilikuwa ni siku ya Ijumaa. Niliamka asubuhi na mapema, ilinijiandae kwenda shuleni. Nilikuwa katika kidato cha pili. Nilisomea katika shule ya upili ya Utubora. Shule hii ilikuwa miongoni mwa shule bora zaidi katika Wilaya ya KwetuKwema. Ilisifiwa kwa kila kitu. Si mchezo, si masomo, si mashairi, si kwa mziki...
Msimulizi alimaliza kujiandaa lini
Saa kumi na moja unusu asubuhi
x
5004_swa_3
5004_swa
SITASAHAU Ilikuwa ni siku ya Ijumaa. Niliamka asubuhi na mapema, ilinijiandae kwenda shuleni. Nilikuwa katika kidato cha pili. Nilisomea katika shule ya upili ya Utubora. Shule hii ilikuwa miongoni mwa shule bora zaidi katika Wilaya ya KwetuKwema. Ilisifiwa kwa kila kitu. Si mchezo, si masomo, si mashairi, si kwa mziki...
Shule ilikwa umbali gani kutoka nyumani
kilomita tano
x
5004_swa_4
5004_swa
SITASAHAU Ilikuwa ni siku ya Ijumaa. Niliamka asubuhi na mapema, ilinijiandae kwenda shuleni. Nilikuwa katika kidato cha pili. Nilisomea katika shule ya upili ya Utubora. Shule hii ilikuwa miongoni mwa shule bora zaidi katika Wilaya ya KwetuKwema. Ilisifiwa kwa kila kitu. Si mchezo, si masomo, si mashairi, si kwa mziki...
Viumbe ambao binadamu hutumia ili kujitajirisha hiuwaje
Majini
x
5158_swa_0
5158_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hafanya katika mashamba yao. Kilimo ina faida nyingi kwa mfano, tunapopanda miti, tunapata hewa safi na mazingira huwa safi. Miti huchangia katika kuleta mvua. Kutokana na kilimo, utapata vitu kama vile wanyama, mimea au hata mbolea. Tunupofuga wanyama kama vile ng’ombe, m...
Kilimo ni kazi ambayo wakulima hufanya wapi
Katika makazi yao
x
5158_swa_1
5158_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hafanya katika mashamba yao. Kilimo ina faida nyingi kwa mfano, tunapopanda miti, tunapata hewa safi na mazingira huwa safi. Miti huchangia katika kuleta mvua. Kutokana na kilimo, utapata vitu kama vile wanyama, mimea au hata mbolea. Tunupofuga wanyama kama vile ng’ombe, m...
Ni nini huleta hewa safi
Miti
x
5158_swa_2
5158_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hafanya katika mashamba yao. Kilimo ina faida nyingi kwa mfano, tunapopanda miti, tunapata hewa safi na mazingira huwa safi. Miti huchangia katika kuleta mvua. Kutokana na kilimo, utapata vitu kama vile wanyama, mimea au hata mbolea. Tunupofuga wanyama kama vile ng’ombe, m...
Mkulima anapotaka kupanda mbegu fulani anapaswa kuwa na nini
Mbolea
x
5158_swa_3
5158_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hafanya katika mashamba yao. Kilimo ina faida nyingi kwa mfano, tunapopanda miti, tunapata hewa safi na mazingira huwa safi. Miti huchangia katika kuleta mvua. Kutokana na kilimo, utapata vitu kama vile wanyama, mimea au hata mbolea. Tunupofuga wanyama kama vile ng’ombe, m...
Mbolea ya mkulima hutoka anaowalinda na kuwapa nini
Chakula
x
5158_swa_4
5158_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hafanya katika mashamba yao. Kilimo ina faida nyingi kwa mfano, tunapopanda miti, tunapata hewa safi na mazingira huwa safi. Miti huchangia katika kuleta mvua. Kutokana na kilimo, utapata vitu kama vile wanyama, mimea au hata mbolea. Tunupofuga wanyama kama vile ng’ombe, m...
Kilimo hutupa kitu gani cha kutusaidia kiuchumi
Pesa
x
5159_swa_0
5159_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo huwa na faida nyingi sana. Kwanza husaidia kuboresha maisha wakulima na watu mbali mbali. Kilimo pia husaidia kuboresha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, wakullima wengi wameweza kupanda mimea tofauti tofauti. Baadhi ya mimea hii ni kama vile mahindi, maharagwe, mtama, ngano na mawele. Pia miti ime...
Nini huwa na faida nyingi
kilimo
x
5159_swa_1
5159_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo huwa na faida nyingi sana. Kwanza husaidia kuboresha maisha wakulima na watu mbali mbali. Kilimo pia husaidia kuboresha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, wakullima wengi wameweza kupanda mimea tofauti tofauti. Baadhi ya mimea hii ni kama vile mahindi, maharagwe, mtama, ngano na mawele. Pia miti ime...
Kilimo huboresha nani
mkulima
x
5159_swa_2
5159_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo huwa na faida nyingi sana. Kwanza husaidia kuboresha maisha wakulima na watu mbali mbali. Kilimo pia husaidia kuboresha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, wakullima wengi wameweza kupanda mimea tofauti tofauti. Baadhi ya mimea hii ni kama vile mahindi, maharagwe, mtama, ngano na mawele. Pia miti ime...
Kilimo huleta pesa katika bisghara gani
ya ukulima
x
5159_swa_3
5159_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo huwa na faida nyingi sana. Kwanza husaidia kuboresha maisha wakulima na watu mbali mbali. Kilimo pia husaidia kuboresha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, wakullima wengi wameweza kupanda mimea tofauti tofauti. Baadhi ya mimea hii ni kama vile mahindi, maharagwe, mtama, ngano na mawele. Pia miti ime...
Mtu anayefanya ukulima hupata pesa kuliko anayeuza nini
nguo
x
5159_swa_4
5159_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo huwa na faida nyingi sana. Kwanza husaidia kuboresha maisha wakulima na watu mbali mbali. Kilimo pia husaidia kuboresha uchumi wa nchi. Kupitia kilimo, wakullima wengi wameweza kupanda mimea tofauti tofauti. Baadhi ya mimea hii ni kama vile mahindi, maharagwe, mtama, ngano na mawele. Pia miti ime...
Mbona mtu huuza mboga na matunda mengi
kwa jili maisha ya mtu yana manufaa mengi
x
5160_swa_0
5160_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu ambacho kinasaidia dunia kwa kutupatia vyalula. Kila mtu anafaa kulima ili apate vyakula ambavyo vitampatia afya bora. Bila afya bora mtu anawaza kuishi bila furaha ama aishi na huzuni. Kilimo husaidia pia kwa wanyama. Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana starehe. Kilimo hus...
Kilimo husaidia dunia kwa kutupatia nini
vyakula
x
5160_swa_1
5160_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu ambacho kinasaidia dunia kwa kutupatia vyalula. Kila mtu anafaa kulima ili apate vyakula ambavyo vitampatia afya bora. Bila afya bora mtu anawaza kuishi bila furaha ama aishi na huzuni. Kilimo husaidia pia kwa wanyama. Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana starehe. Kilimo hus...
Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana nini
starehe
x
5160_swa_2
5160_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu ambacho kinasaidia dunia kwa kutupatia vyalula. Kila mtu anafaa kulima ili apate vyakula ambavyo vitampatia afya bora. Bila afya bora mtu anawaza kuishi bila furaha ama aishi na huzuni. Kilimo husaidia pia kwa wanyama. Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana starehe. Kilimo hus...
Ukiwa na shamba utavuna nini
mimea
x
5160_swa_3
5160_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu ambacho kinasaidia dunia kwa kutupatia vyalula. Kila mtu anafaa kulima ili apate vyakula ambavyo vitampatia afya bora. Bila afya bora mtu anawaza kuishi bila furaha ama aishi na huzuni. Kilimo husaidia pia kwa wanyama. Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana starehe. Kilimo hus...
Watu wanavuna vyakula na kuvipeleka wapi
sokoni
x
5160_swa_4
5160_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu ambacho kinasaidia dunia kwa kutupatia vyalula. Kila mtu anafaa kulima ili apate vyakula ambavyo vitampatia afya bora. Bila afya bora mtu anawaza kuishi bila furaha ama aishi na huzuni. Kilimo husaidia pia kwa wanyama. Kilimo husaidia binadamu kuishi mahali ambapo pana starehe. Kilimo hus...
Ni vipi kilimo husaidia kuinua uchumi
Kwa kupanda kahawa, majani chai and vitu vinginevyo vinavyo inua uchumi
x
5161_swa_0
5161_swa
UMUHIMU WA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa maisha yetu sote. Ukulima una saidia wakulima kukimu mahitaji yao ya kila siku. Kilimo kina saidia kwa kutupa chakula. Ukulima pia una changamoto nyingi sana kama vile uhaba wa maji na pia uhaba wa mchanga ulio na rutuba. Hata hivio ukulima huchangia pakubwa nchini kwa sababu bina...
Kilimo ni muhimu kwa maisha ya nani
Yetu sote
x
5161_swa_1
5161_swa
UMUHIMU WA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa maisha yetu sote. Ukulima una saidia wakulima kukimu mahitaji yao ya kila siku. Kilimo kina saidia kwa kutupa chakula. Ukulima pia una changamoto nyingi sana kama vile uhaba wa maji na pia uhaba wa mchanga ulio na rutuba. Hata hivio ukulima huchangia pakubwa nchini kwa sababu bina...
Ukulima huwasaidia nani kupata mapato yao ya kila siku
Wakulima
x
5161_swa_2
5161_swa
UMUHIMU WA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa maisha yetu sote. Ukulima una saidia wakulima kukimu mahitaji yao ya kila siku. Kilimo kina saidia kwa kutupa chakula. Ukulima pia una changamoto nyingi sana kama vile uhaba wa maji na pia uhaba wa mchanga ulio na rutuba. Hata hivio ukulima huchangia pakubwa nchini kwa sababu bina...
Wakulima ni watu wenye maana wapi
Duniani
x
5161_swa_3
5161_swa
UMUHIMU WA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa maisha yetu sote. Ukulima una saidia wakulima kukimu mahitaji yao ya kila siku. Kilimo kina saidia kwa kutupa chakula. Ukulima pia una changamoto nyingi sana kama vile uhaba wa maji na pia uhaba wa mchanga ulio na rutuba. Hata hivio ukulima huchangia pakubwa nchini kwa sababu bina...
Chakula kina manufaa gani
Hutupa vitamini
x
5161_swa_4
5161_swa
UMUHIMU WA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa maisha yetu sote. Ukulima una saidia wakulima kukimu mahitaji yao ya kila siku. Kilimo kina saidia kwa kutupa chakula. Ukulima pia una changamoto nyingi sana kama vile uhaba wa maji na pia uhaba wa mchanga ulio na rutuba. Hata hivio ukulima huchangia pakubwa nchini kwa sababu bina...
Kama hakungekuwa na wakulima watu wengi wangekuwaje
Wangekufa
x
5163_swa_0
5163_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni mojawapo ya sekta ambayo huwasaidia watu wengi wakiwemo wakulima. Kwa mfano, mkulima akipanda miwa shambani, huuza kwa kiwanda cha miwa na kutengenezwa sukari na kuuzwa sehemu mbalimbali nchini na hata Bara la Afrika na kuiletea nchi yetu faida na hata kwa mkulima. Kilimo pia husaidia kwa utun...
Mkulima akipanda miwa shambani huuza wapi
viwandani
x
5163_swa_1
5163_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni mojawapo ya sekta ambayo huwasaidia watu wengi wakiwemo wakulima. Kwa mfano, mkulima akipanda miwa shambani, huuza kwa kiwanda cha miwa na kutengenezwa sukari na kuuzwa sehemu mbalimbali nchini na hata Bara la Afrika na kuiletea nchi yetu faida na hata kwa mkulima. Kilimo pia husaidia kwa utun...
Miwa hutengeneza nini
sukari
x
5163_swa_2
5163_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni mojawapo ya sekta ambayo huwasaidia watu wengi wakiwemo wakulima. Kwa mfano, mkulima akipanda miwa shambani, huuza kwa kiwanda cha miwa na kutengenezwa sukari na kuuzwa sehemu mbalimbali nchini na hata Bara la Afrika na kuiletea nchi yetu faida na hata kwa mkulima. Kilimo pia husaidia kwa utun...
Kilimo huwezesha watu kupata nini
ajira
x
5163_swa_3
5163_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni mojawapo ya sekta ambayo huwasaidia watu wengi wakiwemo wakulima. Kwa mfano, mkulima akipanda miwa shambani, huuza kwa kiwanda cha miwa na kutengenezwa sukari na kuuzwa sehemu mbalimbali nchini na hata Bara la Afrika na kuiletea nchi yetu faida na hata kwa mkulima. Kilimo pia husaidia kwa utun...
Kilimo husaidia kutunza nini
mazingira
x
5163_swa_4
5163_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni mojawapo ya sekta ambayo huwasaidia watu wengi wakiwemo wakulima. Kwa mfano, mkulima akipanda miwa shambani, huuza kwa kiwanda cha miwa na kutengenezwa sukari na kuuzwa sehemu mbalimbali nchini na hata Bara la Afrika na kuiletea nchi yetu faida na hata kwa mkulima. Kilimo pia husaidia kwa utun...
Kwa nini kilimo ni muhimu kwa uhai wa binadamu
Kwa sababu hutupatia chakula
x
5164_swa_0
5164_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia...
Faida ya kilimo hutokana na nini
ukulima
x
5164_swa_1
5164_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia...
Miti huwa na rangi gani
ya chani kiwiti
x
5164_swa_2
5164_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia...
Maua humetameta na kung'aa wapi
gizani
x
5164_swa_3
5164_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia...
Nani aitunze nchi yake
kila mja
x
5164_swa_4
5164_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia...
Mbona miziz hushikilia udongo
ili kusiwe na mmomonyoko wa udongo
x
5165_swa_0
5165_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ina faida nyingi sana kwani hapo ndipo watu wengi hupata kipato cha kila siku. Hakuna mwanadamu ambaye anaweza kuishi bila kula chakula. Chakula hiki hutoka shambani. Kilimo ina faida nyingi sana. Kwanza, kilimo hutupa vyakula vya aina mbali mbali kama vile maharagwe na mahindi. Mahindi huweza ku...
Hakuna binadamu anaweza kuishi bila kula nini
Chakula
x
5165_swa_1
5165_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ina faida nyingi sana kwani hapo ndipo watu wengi hupata kipato cha kila siku. Hakuna mwanadamu ambaye anaweza kuishi bila kula chakula. Chakula hiki hutoka shambani. Kilimo ina faida nyingi sana. Kwanza, kilimo hutupa vyakula vya aina mbali mbali kama vile maharagwe na mahindi. Mahindi huweza ku...
Kilimo kina faida kama vile kupanda nini
Mahindi na miharagwe
x
5165_swa_2
5165_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ina faida nyingi sana kwani hapo ndipo watu wengi hupata kipato cha kila siku. Hakuna mwanadamu ambaye anaweza kuishi bila kula chakula. Chakula hiki hutoka shambani. Kilimo ina faida nyingi sana. Kwanza, kilimo hutupa vyakula vya aina mbali mbali kama vile maharagwe na mahindi. Mahindi huweza ku...
Kuku hutupa nini
Mayai
x
5165_swa_3
5165_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ina faida nyingi sana kwani hapo ndipo watu wengi hupata kipato cha kila siku. Hakuna mwanadamu ambaye anaweza kuishi bila kula chakula. Chakula hiki hutoka shambani. Kilimo ina faida nyingi sana. Kwanza, kilimo hutupa vyakula vya aina mbali mbali kama vile maharagwe na mahindi. Mahindi huweza ku...
Kilimo husaidia kuweka mbolea wapi
Kwenye shamba
x
5165_swa_4
5165_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ina faida nyingi sana kwani hapo ndipo watu wengi hupata kipato cha kila siku. Hakuna mwanadamu ambaye anaweza kuishi bila kula chakula. Chakula hiki hutoka shambani. Kilimo ina faida nyingi sana. Kwanza, kilimo hutupa vyakula vya aina mbali mbali kama vile maharagwe na mahindi. Mahindi huweza ku...
Mbona kilimo kina faida nyingi sana
Kwa maana hapo ndipo tunapata kipato chetu
x
5166_swa_0
5166_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida chungu nzima. Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Ki...
Nini ina faida chungu nzima
kilimo
x
5166_swa_1
5166_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida chungu nzima. Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Ki...
Kilimo huwasaidia nani
watu
x
5166_swa_2
5166_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida chungu nzima. Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Ki...
Ukiwa na mahindi utapata unga wa kupika lini
hiyo siku
x
5166_swa_3
5166_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida chungu nzima. Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Ki...
Kilimo ni muhimu sana katika nchi gani
Kenya
x
5166_swa_4
5166_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida chungu nzima. Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Ki...
Mbona tusaidiane kama jamii moja
ili tuweze kuishi vizuri
x
5167_swa_0
5167_swa
FAIDA YA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima kwa jembe au plau. Kwa mujibu wa sheria, tunaelezwa kuwa tusikate miti maana tunapokata mitu ukame unaweza kuenea nchini kwa sababu ya ukosefu wa mvua. chakula na maji. Kilimo ni muhimu kwa wanadamu na hata kwa mkulima kwa sababu kilimo husaidia wakulima kwa kupata pesa kwa ...
Sheria inasema tusikate nini
miti
x
5167_swa_1
5167_swa
FAIDA YA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima kwa jembe au plau. Kwa mujibu wa sheria, tunaelezwa kuwa tusikate miti maana tunapokata mitu ukame unaweza kuenea nchini kwa sababu ya ukosefu wa mvua. chakula na maji. Kilimo ni muhimu kwa wanadamu na hata kwa mkulima kwa sababu kilimo husaidia wakulima kwa kupata pesa kwa ...
Miti hutupa nini
dawa
x
5167_swa_2
5167_swa
FAIDA YA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima kwa jembe au plau. Kwa mujibu wa sheria, tunaelezwa kuwa tusikate miti maana tunapokata mitu ukame unaweza kuenea nchini kwa sababu ya ukosefu wa mvua. chakula na maji. Kilimo ni muhimu kwa wanadamu na hata kwa mkulima kwa sababu kilimo husaidia wakulima kwa kupata pesa kwa ...
Kilimo ni bora kwa nani
binadamu
x
5167_swa_3
5167_swa
FAIDA YA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima kwa jembe au plau. Kwa mujibu wa sheria, tunaelezwa kuwa tusikate miti maana tunapokata mitu ukame unaweza kuenea nchini kwa sababu ya ukosefu wa mvua. chakula na maji. Kilimo ni muhimu kwa wanadamu na hata kwa mkulima kwa sababu kilimo husaidia wakulima kwa kupata pesa kwa ...
Daktari hushauri mtu ale chakula gani
zinazomtia nguvu
x
5167_swa_4
5167_swa
FAIDA YA KILIMO Kilimo ni shughuli ya kulima kwa jembe au plau. Kwa mujibu wa sheria, tunaelezwa kuwa tusikate miti maana tunapokata mitu ukame unaweza kuenea nchini kwa sababu ya ukosefu wa mvua. chakula na maji. Kilimo ni muhimu kwa wanadamu na hata kwa mkulima kwa sababu kilimo husaidia wakulima kwa kupata pesa kwa ...
Mbona tusikate miti
ukame unaweza kuenea nchini
x
5168_swa_0
5168_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu katika nchi yetu ya Kenya. Bila kilimo nchini, watu hawawezi kuendelea na maisha yao. Kilimo husaidia watu kupata chakula. Kilimo huwasaidia wakulima na hata serikali yetu kupata fedha. Wakulima huweza kujikimu kimaisha kutokana na fedha hizi. Serikali imeweza kuendeleza miradi mbali m...
Kilimo ni muhimu katika nchi gani
Kenya
x
5168_swa_1
5168_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu katika nchi yetu ya Kenya. Bila kilimo nchini, watu hawawezi kuendelea na maisha yao. Kilimo husaidia watu kupata chakula. Kilimo huwasaidia wakulima na hata serikali yetu kupata fedha. Wakulima huweza kujikimu kimaisha kutokana na fedha hizi. Serikali imeweza kuendeleza miradi mbali m...
Watu hawawezi kuendelea na maisha bila nini
utajiri
x
5168_swa_2
5168_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu katika nchi yetu ya Kenya. Bila kilimo nchini, watu hawawezi kuendelea na maisha yao. Kilimo husaidia watu kupata chakula. Kilimo huwasaidia wakulima na hata serikali yetu kupata fedha. Wakulima huweza kujikimu kimaisha kutokana na fedha hizi. Serikali imeweza kuendeleza miradi mbali m...
Watu husafirisha vitu katika nchi nyingine ili kufanya nini
biasahara
x
5168_swa_3
5168_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu katika nchi yetu ya Kenya. Bila kilimo nchini, watu hawawezi kuendelea na maisha yao. Kilimo husaidia watu kupata chakula. Kilimo huwasaidia wakulima na hata serikali yetu kupata fedha. Wakulima huweza kujikimu kimaisha kutokana na fedha hizi. Serikali imeweza kuendeleza miradi mbali m...
Nani hufundisha kilimo shuleni
waalimu
x
5168_swa_4
5168_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu katika nchi yetu ya Kenya. Bila kilimo nchini, watu hawawezi kuendelea na maisha yao. Kilimo husaidia watu kupata chakula. Kilimo huwasaidia wakulima na hata serikali yetu kupata fedha. Wakulima huweza kujikimu kimaisha kutokana na fedha hizi. Serikali imeweza kuendeleza miradi mbali m...
Kwa nini kilimo kimesababisha watu kuaga
kwa kukosa chakula
x
5169_swa_0
5169_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu kwani uchumi wetu hutegemea kilimo kwa aisilimia kubwa. Manufaa ya kilimo ni mengi sana kwetu binadamu na hata kwa viumbe wengine. Kwanza, kupitia kwa kilimo, tunapata aina mbali mbali ya chakula. Aina ya chakula inayopandwa ni kama vile mahindi, maharagwe, mbonga,...
Wakulima wamekuwa wakifurahi katika nchi gani
Kenya
x
5169_swa_1
5169_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu kwani uchumi wetu hutegemea kilimo kwa aisilimia kubwa. Manufaa ya kilimo ni mengi sana kwetu binadamu na hata kwa viumbe wengine. Kwanza, kupitia kwa kilimo, tunapata aina mbali mbali ya chakula. Aina ya chakula inayopandwa ni kama vile mahindi, maharagwe, mbonga,...
Wakulima wamepanda nini
miti
x
5169_swa_2
5169_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu kwani uchumi wetu hutegemea kilimo kwa aisilimia kubwa. Manufaa ya kilimo ni mengi sana kwetu binadamu na hata kwa viumbe wengine. Kwanza, kupitia kwa kilimo, tunapata aina mbali mbali ya chakula. Aina ya chakula inayopandwa ni kama vile mahindi, maharagwe, mbonga,...
Ni nani husaidia wananchi kwa chakula
wakulima
x
5169_swa_3
5169_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu kwani uchumi wetu hutegemea kilimo kwa aisilimia kubwa. Manufaa ya kilimo ni mengi sana kwetu binadamu na hata kwa viumbe wengine. Kwanza, kupitia kwa kilimo, tunapata aina mbali mbali ya chakula. Aina ya chakula inayopandwa ni kama vile mahindi, maharagwe, mbonga,...
Wakulima huwa na shida wakikosa nini
mvua
x
5169_swa_4
5169_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu kwani uchumi wetu hutegemea kilimo kwa aisilimia kubwa. Manufaa ya kilimo ni mengi sana kwetu binadamu na hata kwa viumbe wengine. Kwanza, kupitia kwa kilimo, tunapata aina mbali mbali ya chakula. Aina ya chakula inayopandwa ni kama vile mahindi, maharagwe, mbonga,...
Kwa nini wananchi hufuraiha kilimo
Kwa sababu kilimo husaidia sana
x
5170_swa_0
5170_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu cha maana huku nchini. Bila kilimo, watu wengi hawengekuwa na chakula. Mazao ya kilimo ni kama vile matunda, mboga, nyanya, na vitunguu. Mazao haya hupelekwa sokoni na watu huuza na kupata fedha za kujikimu kimaisha. Wakulima wengi hutegemea mashamba yao ili kupata fedha za kulipia watoto...
Nini kilicho kitu cha maana
Kilimo
x
5170_swa_1
5170_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu cha maana huku nchini. Bila kilimo, watu wengi hawengekuwa na chakula. Mazao ya kilimo ni kama vile matunda, mboga, nyanya, na vitunguu. Mazao haya hupelekwa sokoni na watu huuza na kupata fedha za kujikimu kimaisha. Wakulima wengi hutegemea mashamba yao ili kupata fedha za kulipia watoto...
Kilimo ni kitu cha maana wapi
Huku nchini
x
5170_swa_2
5170_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu cha maana huku nchini. Bila kilimo, watu wengi hawengekuwa na chakula. Mazao ya kilimo ni kama vile matunda, mboga, nyanya, na vitunguu. Mazao haya hupelekwa sokoni na watu huuza na kupata fedha za kujikimu kimaisha. Wakulima wengi hutegemea mashamba yao ili kupata fedha za kulipia watoto...
Chakula hiki hupelekwa wapi
Sokoni
x
5170_swa_3
5170_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu cha maana huku nchini. Bila kilimo, watu wengi hawengekuwa na chakula. Mazao ya kilimo ni kama vile matunda, mboga, nyanya, na vitunguu. Mazao haya hupelekwa sokoni na watu huuza na kupata fedha za kujikimu kimaisha. Wakulima wengi hutegemea mashamba yao ili kupata fedha za kulipia watoto...
Watu nchini huwa wanafanya nini
Kazi nyingi
x
5170_swa_4
5170_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kitu cha maana huku nchini. Bila kilimo, watu wengi hawengekuwa na chakula. Mazao ya kilimo ni kama vile matunda, mboga, nyanya, na vitunguu. Mazao haya hupelekwa sokoni na watu huuza na kupata fedha za kujikimu kimaisha. Wakulima wengi hutegemea mashamba yao ili kupata fedha za kulipia watoto...
Watu wasio jihusisha na kilimo hawana nini
Maisha
x
5171_swa_0
5171_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa binadamu na pia kwa wanyama kwa sababu kupitia kilimo tunapata chakula na pia hewa safi ya kupumua. Ukulima huleteo nchi utajiri na pia kubadilishana kwa bidhaa tofauti na nchi za kigeni. Mfano ni kama nchi yetu ya Kenya huwa na mazao mengi ya kilimo kama vile kahawa na majani chai ...
Nini muhimu kwa binadamu
ukulima
x
5171_swa_1
5171_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa binadamu na pia kwa wanyama kwa sababu kupitia kilimo tunapata chakula na pia hewa safi ya kupumua. Ukulima huleteo nchi utajiri na pia kubadilishana kwa bidhaa tofauti na nchi za kigeni. Mfano ni kama nchi yetu ya Kenya huwa na mazao mengi ya kilimo kama vile kahawa na majani chai ...
Ukulima huletea nchi nini
utajiri
x
5171_swa_2
5171_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa binadamu na pia kwa wanyama kwa sababu kupitia kilimo tunapata chakula na pia hewa safi ya kupumua. Ukulima huleteo nchi utajiri na pia kubadilishana kwa bidhaa tofauti na nchi za kigeni. Mfano ni kama nchi yetu ya Kenya huwa na mazao mengi ya kilimo kama vile kahawa na majani chai ...
Nani huharibu vyakula
wadudu
x
5171_swa_3
5171_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa binadamu na pia kwa wanyama kwa sababu kupitia kilimo tunapata chakula na pia hewa safi ya kupumua. Ukulima huleteo nchi utajiri na pia kubadilishana kwa bidhaa tofauti na nchi za kigeni. Mfano ni kama nchi yetu ya Kenya huwa na mazao mengi ya kilimo kama vile kahawa na majani chai ...
Kila binadamu anahitaji hewa gani
safi
x
5171_swa_4
5171_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu kwa binadamu na pia kwa wanyama kwa sababu kupitia kilimo tunapata chakula na pia hewa safi ya kupumua. Ukulima huleteo nchi utajiri na pia kubadilishana kwa bidhaa tofauti na nchi za kigeni. Mfano ni kama nchi yetu ya Kenya huwa na mazao mengi ya kilimo kama vile kahawa na majani chai ...
Kwa nini ukulima huchangia pakubwa nchini
kwa sababu binadamu na wanyama hawawezi kuishi bila chakula
x
5172_swa_0
5172_swa
FAIDA ZA KILIMO Faida za kilimo ni nyingi mno. Kilimo kimeweza kuiletea nchi yetu faida nyingi mno. Kilimo imewezesha nchi yetu kuwa tajiri na kuweza kujitegemea. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili ...
Kilimo hupatia nchin yetu nini
faida
x
5172_swa_1
5172_swa
FAIDA ZA KILIMO Faida za kilimo ni nyingi mno. Kilimo kimeweza kuiletea nchi yetu faida nyingi mno. Kilimo imewezesha nchi yetu kuwa tajiri na kuweza kujitegemea. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili ...
Kilimo husaidia kufukuza nini
njaa
x
5172_swa_2
5172_swa
FAIDA ZA KILIMO Faida za kilimo ni nyingi mno. Kilimo kimeweza kuiletea nchi yetu faida nyingi mno. Kilimo imewezesha nchi yetu kuwa tajiri na kuweza kujitegemea. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili ...
Kilimo huwatapia wakulima nini
pesa
x
5172_swa_3
5172_swa
FAIDA ZA KILIMO Faida za kilimo ni nyingi mno. Kilimo kimeweza kuiletea nchi yetu faida nyingi mno. Kilimo imewezesha nchi yetu kuwa tajiri na kuweza kujitegemea. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili ...
Mkulima anahitaji nini
nyumba
x
5172_swa_4
5172_swa
FAIDA ZA KILIMO Faida za kilimo ni nyingi mno. Kilimo kimeweza kuiletea nchi yetu faida nyingi mno. Kilimo imewezesha nchi yetu kuwa tajiri na kuweza kujitegemea. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili ...
Ni vipi kilimo husaidia mkulima
Kwa kumpatia nyumba, chakula na mavazi
x
5173_swa_0
5173_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo, ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Bila kilimo, wananchi wote wangekuwa wameaga dunia. Lakini katika kilimo, lazima utie bidii katika mimea yako ili upate mavuno. Mtu anayelima shambani huitwa mkulima. Mkulima anapotaka kuanza kulima, atatumia hela nyingi sana lakini, mimea inapomea ...
Katika ukulima lazima utie nini
Bidii
x
5173_swa_1
5173_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo, ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Bila kilimo, wananchi wote wangekuwa wameaga dunia. Lakini katika kilimo, lazima utie bidii katika mimea yako ili upate mavuno. Mtu anayelima shambani huitwa mkulima. Mkulima anapotaka kuanza kulima, atatumia hela nyingi sana lakini, mimea inapomea ...
Mtu anayelima shambani huitwa nani
Mkulima
x
5173_swa_2
5173_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo, ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Bila kilimo, wananchi wote wangekuwa wameaga dunia. Lakini katika kilimo, lazima utie bidii katika mimea yako ili upate mavuno. Mtu anayelima shambani huitwa mkulima. Mkulima anapotaka kuanza kulima, atatumia hela nyingi sana lakini, mimea inapomea ...
Watu wengine wanapoenda kazini mkulima huamka kwenda wapi
Kwa shamba lake
x
5173_swa_3
5173_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo, ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Bila kilimo, wananchi wote wangekuwa wameaga dunia. Lakini katika kilimo, lazima utie bidii katika mimea yako ili upate mavuno. Mtu anayelima shambani huitwa mkulima. Mkulima anapotaka kuanza kulima, atatumia hela nyingi sana lakini, mimea inapomea ...
Heri hujiandika kuliko kufanywa nini
Kuandikwa
x
5173_swa_4
5173_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo, ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Bila kilimo, wananchi wote wangekuwa wameaga dunia. Lakini katika kilimo, lazima utie bidii katika mimea yako ili upate mavuno. Mtu anayelima shambani huitwa mkulima. Mkulima anapotaka kuanza kulima, atatumia hela nyingi sana lakini, mimea inapomea ...
Ni lini mkulima huwauzia kina mama
Siku ya kwenda sokoni
x
5174_swa_0
5174_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Kilimo ni kitu cha maana sana kwa sababu tusipo lima hatutupata vyakula. Kilimo iko na faida kwote duniani. Bila kilimo, hakuna lishe kwa binadamu na wanyama. Unaweza kujiajiri wewe mwenyewe na kuwa na kazi yako kibinafsi. Unaweza pata faida kwa vitu k...
Nini ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani
kilimo
x
5174_swa_1
5174_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Kilimo ni kitu cha maana sana kwa sababu tusipo lima hatutupata vyakula. Kilimo iko na faida kwote duniani. Bila kilimo, hakuna lishe kwa binadamu na wanyama. Unaweza kujiajiri wewe mwenyewe na kuwa na kazi yako kibinafsi. Unaweza pata faida kwa vitu k...
Ni muhimu kujifunza kujifunza kutunza wanyama gani
wa nyumbani
x
5174_swa_2
5174_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Kilimo ni kitu cha maana sana kwa sababu tusipo lima hatutupata vyakula. Kilimo iko na faida kwote duniani. Bila kilimo, hakuna lishe kwa binadamu na wanyama. Unaweza kujiajiri wewe mwenyewe na kuwa na kazi yako kibinafsi. Unaweza pata faida kwa vitu k...
Utasaidia nani kulipa karo ya shule
wazazi wako
x
5174_swa_3
5174_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Kilimo ni kitu cha maana sana kwa sababu tusipo lima hatutupata vyakula. Kilimo iko na faida kwote duniani. Bila kilimo, hakuna lishe kwa binadamu na wanyama. Unaweza kujiajiri wewe mwenyewe na kuwa na kazi yako kibinafsi. Unaweza pata faida kwa vitu k...
Faraja huja lini
baada ya dhiki
x
5174_swa_4
5174_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ya kulima na kupanda mazao shambani. Kilimo ni kitu cha maana sana kwa sababu tusipo lima hatutupata vyakula. Kilimo iko na faida kwote duniani. Bila kilimo, hakuna lishe kwa binadamu na wanyama. Unaweza kujiajiri wewe mwenyewe na kuwa na kazi yako kibinafsi. Unaweza pata faida kwa vitu k...
Mbona kilimo ni kitu cha maana sana
kwa sababu tusipolima hatutapata vyakula
x
5175_swa_0
5175_swa
Faida za kilimo Nchini Kenya kuna nyingi za mimea, hili ni kama mibuni, machai, minazi, mipamba na mingineyo. Mimea hukuzwa katika sehemu mbalimbali. Huwaleta wakulima faida kubwa wanapouza mazao yao. Aidha nchi yetu hupata manufaa ya pesa za kigeni. Pesa hizi hutumiwa kwa kununulia bidhaa mbalimbali ambazo hazipatikan...
Nchini Kenya kuna aina nyingi ya nini
mimea
x
5175_swa_1
5175_swa
Faida za kilimo Nchini Kenya kuna nyingi za mimea, hili ni kama mibuni, machai, minazi, mipamba na mingineyo. Mimea hukuzwa katika sehemu mbalimbali. Huwaleta wakulima faida kubwa wanapouza mazao yao. Aidha nchi yetu hupata manufaa ya pesa za kigeni. Pesa hizi hutumiwa kwa kununulia bidhaa mbalimbali ambazo hazipatikan...
Mimea huwaletea wakulima nini
faida
x
5175_swa_2
5175_swa
Faida za kilimo Nchini Kenya kuna nyingi za mimea, hili ni kama mibuni, machai, minazi, mipamba na mingineyo. Mimea hukuzwa katika sehemu mbalimbali. Huwaleta wakulima faida kubwa wanapouza mazao yao. Aidha nchi yetu hupata manufaa ya pesa za kigeni. Pesa hizi hutumiwa kwa kununulia bidhaa mbalimbali ambazo hazipatikan...
Pemba hupelekwa wapi
viwandani
x
5175_swa_3
5175_swa
Faida za kilimo Nchini Kenya kuna nyingi za mimea, hili ni kama mibuni, machai, minazi, mipamba na mingineyo. Mimea hukuzwa katika sehemu mbalimbali. Huwaleta wakulima faida kubwa wanapouza mazao yao. Aidha nchi yetu hupata manufaa ya pesa za kigeni. Pesa hizi hutumiwa kwa kununulia bidhaa mbalimbali ambazo hazipatikan...
Blanketi hutiwa wapi
kwa mashine
x
5175_swa_4
5175_swa
Faida za kilimo Nchini Kenya kuna nyingi za mimea, hili ni kama mibuni, machai, minazi, mipamba na mingineyo. Mimea hukuzwa katika sehemu mbalimbali. Huwaleta wakulima faida kubwa wanapouza mazao yao. Aidha nchi yetu hupata manufaa ya pesa za kigeni. Pesa hizi hutumiwa kwa kununulia bidhaa mbalimbali ambazo hazipatikan...
Ni vipi vitambaa huwekwa rangi mbali mbali
Kwa kupitishwa kwa mashine
x
5176_swa_0
5176_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hufanya katika makao yao. Kilimo ina faida mingi kwa mfano tunapopanda miti huleta hewa safi na mazingira safi huwa inachangia kwa kuleta mvua. Kutokana na kilimo utapata vitu kama vile wanyama, mimea na hata mbolea. Unapolea wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, kondoo kuna w...
Ni nini ambayo wakulima hufanya katika makazi yao
kilimo
x
5176_swa_1
5176_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hufanya katika makao yao. Kilimo ina faida mingi kwa mfano tunapopanda miti huleta hewa safi na mazingira safi huwa inachangia kwa kuleta mvua. Kutokana na kilimo utapata vitu kama vile wanyama, mimea na hata mbolea. Unapolea wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, kondoo kuna w...
Mkulima anapaswa kuwa na nini kabla ya kupanda
mbolea
x
5176_swa_2
5176_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hufanya katika makao yao. Kilimo ina faida mingi kwa mfano tunapopanda miti huleta hewa safi na mazingira safi huwa inachangia kwa kuleta mvua. Kutokana na kilimo utapata vitu kama vile wanyama, mimea na hata mbolea. Unapolea wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, kondoo kuna w...
Miti huleta hewa katika nini
mazingira
x
5176_swa_3
5176_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni kazi ambayo wakulima hufanya katika makao yao. Kilimo ina faida mingi kwa mfano tunapopanda miti huleta hewa safi na mazingira safi huwa inachangia kwa kuleta mvua. Kutokana na kilimo utapata vitu kama vile wanyama, mimea na hata mbolea. Unapolea wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi, kondoo kuna w...
Kilimo hutupatia nini ya kusaidia kiuchumi
pesa
x