id string | story_id string | context string | question string | answer string | paragraph_id string |
|---|---|---|---|---|---|
5220_swa_4 | 5220_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu... | Kwa nini kutunza vyakula | Ili viweze kusaidia | x |
5221_swa_0 | 5221_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu. Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pi... | Kilimo ni muhimu katika jamhuri ipi | Kenya | x |
5221_swa_1 | 5221_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu. Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pi... | Watu hupanda nini | Mimea | x |
5221_swa_2 | 5221_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu. Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pi... | Wakulima hupeleka maziwa wapi | viwandani | x |
5221_swa_3 | 5221_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu. Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pi... | Ukulima huleta nini | Pesa | x |
5221_swa_4 | 5221_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu. Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pi... | Ni vipi kilimo husaidia nchi kuwa na jina kubwa | Kwa kuuza mimea katika nchi za nje | x |
5222_swa_0 | 5222_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri. Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja... | Asilimia ngapi nchini hutegemea kilimo | themanini | x |
5222_swa_1 | 5222_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri. Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja... | Nini husambaza chakula jijini | kilimo | x |
5222_swa_2 | 5222_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri. Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja... | Kuna upungufu wa kununua vifaa gani | vya kilimo | x |
5222_swa_3 | 5222_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri. Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja... | Nani hupanda mti | mkulima | x |
5222_swa_4 | 5222_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri. Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja... | Pesa zinazoletwa nchini na kilimo hutumikaje | kwa ujenzi wa barabara na kulipa deni | x |
5223_swa_0 | 5223_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu. Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri ... | Chakula hutoka kwa nini | Kilimo | x |
5223_swa_1 | 5223_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu. Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri ... | Wakulima hutoa nini wakienda kuuza | Ushuru | x |
5223_swa_2 | 5223_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu. Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri ... | Asili mia kubwa ya wananchi hunywa nini | Chai | x |
5223_swa_3 | 5223_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu. Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri ... | Kilimo hulisha nini | Familia | x |
5223_swa_4 | 5223_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu. Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri ... | Kwa nini vijana hawapaswi kusema hakuna kazi | Kwa vile wanafaa kujishughulisha na kazi ya kilimo | x |
5224_swa_0 | 5224_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama al... | Kilimo huhusisha ufugaji wa nini | mifugo | x |
5224_swa_1 | 5224_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama al... | Kilimo kimeenea wapi | nchini | x |
5224_swa_2 | 5224_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama al... | Kilimo kimewapa nani faida kubwa | wakulima | x |
5224_swa_3 | 5224_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama al... | Mazao na mifugo ni muhimu kwa maisha ya nani | binadamu | x |
5224_swa_4 | 5224_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama al... | Pembe hutumika vipi | kama ala za muziki | x |
5225_swa_0 | 5225_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Kilimo pia huwezesha nchi... | Nchi gani inategemea kilimo | Kenya | x |
5225_swa_1 | 5225_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Kilimo pia huwezesha nchi... | Kilimo huwezesha nchi kupata nini | Pesa | x |
5225_swa_2 | 5225_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Kilimo pia huwezesha nchi... | Kilimo husaidia nchi kwa kutupa nini | Chakula | x |
5225_swa_3 | 5225_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Kilimo pia huwezesha nchi... | Kilimo ni njia mojawapo ya kupata nini | Raslimali | x |
5225_swa_4 | 5225_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa. Kilimo pia huwezesha nchi... | Ni vipi kilimo hutumiwa katika viwanda | Kwa kutengeneza kemikali zinazotoka kwa maua | x |
5226_swa_0 | 5226_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika. Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, mat... | Ukulima ni nini katika nchi yetu | Jambo muhimu sana | x |
5226_swa_1 | 5226_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika. Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, mat... | Ukulima ni muhimu katika nchi gani | Nchi yetu Kenya | x |
5226_swa_2 | 5226_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika. Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, mat... | Ukulima umetusaidia kupata nini | Mapato | x |
5226_swa_3 | 5226_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika. Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, mat... | Ni nini kilichosaidia kupata lishe ya kila siku | Kilimo | x |
5226_swa_4 | 5226_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika. Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, mat... | Kuku husaidia kwa kitu gani | Mayai | x |
5227_swa_0 | 5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimar... | Kilimo ni kazi iliyokuweko tangu lini | Zamani | x |
5227_swa_1 | 5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimar... | Ni ipi mojawapo ya sekta muhimu | Kilimo | x |
5227_swa_2 | 5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimar... | Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu hufikiri kuwa kilimo ni cha kina nani | watu wasio na masomo | x |
5227_swa_3 | 5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimar... | Bila mkulima hakutakuwa na nini | Chakula | x |
5227_swa_4 | 5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI. Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimar... | Tukifanya kilimo tutaweza kufurahia matunda na nini | Kazi ya mikono yetu | x |
5228_swa_0 | 5228_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama. Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa ... | Kilimo ni uzalishaji wa nini | Mazao | x |
5228_swa_1 | 5228_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama. Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa ... | Watu hupanda nini | Mimea | x |
5228_swa_2 | 5228_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama. Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa ... | Inatakiwa wakulima kupewa nini | Mikopo ya pesa | x |
5228_swa_3 | 5228_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama. Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa ... | Watu hupanda mimea na kuifanyia nini | Kuitunza | x |
5228_swa_4 | 5228_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama. Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa ... | Serikali inatakiwa kuipa kipaumbele sekta gani | Ya kilimo | x |
5229_swa_0 | 5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini.... | Kilimo ni nini | Shughuli ya kulima | x |
5229_swa_1 | 5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini.... | Kilimo kimeleta nini | Maendeleo mengi | x |
5229_swa_2 | 5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini.... | Kilimo pia ni ufugaji wa nini | Wanyama | x |
5229_swa_3 | 5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini.... | Kilimo kimesaidia wasiokuwa na kazi kupata nini | Kazi | x |
5229_swa_4 | 5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama. Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini.... | Wakulima wastahili heshima na nini | Kulipwa malipo yanayostahili | x |
5231_swa_0 | 5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu. Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru. Kilimo kimewapa ajira wakulima wad... | Ni asilimia gani hutegemea kilimo | 90% | x |
5231_swa_1 | 5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu. Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru. Kilimo kimewapa ajira wakulima wad... | Kilimo huwezesha nchi yetu kupata nini | Lishe | x |
5231_swa_2 | 5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu. Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru. Kilimo kimewapa ajira wakulima wad... | Kilimo pia huwezesha nchi yetu kulipa nini | Ushuru | x |
5231_swa_3 | 5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu. Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru. Kilimo kimewapa ajira wakulima wad... | Nani aliye shujaa katika taifa letu | Profesa Wangari Maathai | x |
5231_swa_4 | 5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu. Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru. Kilimo kimewapa ajira wakulima wad... | Wangari Maathai alipanda nini | Miti mingi | x |
5232_swa_0 | 5232_swa | FAIDA ZA KILIMO. Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika. Tukiwa shuleni, mwalimu w... | Nchini Kenya kuna faida nyingi za kitu gani | Kilimo | x |
5232_swa_1 | 5232_swa | FAIDA ZA KILIMO. Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika. Tukiwa shuleni, mwalimu w... | Ni wapi kunapatikana faida nyingi za kilimo | Nchini Kenya | x |
5232_swa_2 | 5232_swa | FAIDA ZA KILIMO. Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika. Tukiwa shuleni, mwalimu w... | Mwalimu wa kiswahili aliwaambia kuwa wangetembea wapi | Kwa mkulima mmoja | x |
5232_swa_3 | 5232_swa | FAIDA ZA KILIMO. Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika. Tukiwa shuleni, mwalimu w... | Walisafiri kwa kitu gani | Gari moshi | x |
5232_swa_4 | 5232_swa | FAIDA ZA KILIMO. Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika. Tukiwa shuleni, mwalimu w... | Mwenyewe aliwapeleka wapi | Kwa shamba lake | x |
5233_swa_0 | 5233_swa | FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi. Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa... | Ni faida za nini zimesambaa humu nchini | Kilimo | x |
5233_swa_1 | 5233_swa | FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi. Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa... | Mkulima hungojea nini | Mvua | x |
5233_swa_2 | 5233_swa | FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi. Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa... | Faida ya kilimo ni muhimu kwa nani | Binadamu | x |
5233_swa_3 | 5233_swa | FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi. Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa... | Kilimo husaidia kwa utunzaji wa nini | Mazingira | x |
5233_swa_4 | 5233_swa | FAIDA ZA KILIMO Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi. Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa... | Kwa nini mkulima atunze mazingira | Ili kupata manufaa kutoka kwa mimea | x |
5234_swa_0 | 5234_swa | Ufahamu 1 Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile M... | Umaskini unakabili mataifa gani | yanayoendelea | x |
5234_swa_1 | 5234_swa | Ufahamu 1 Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile M... | mataifa yanayoendelea yanapaswa kupambana na nini | umaskini | x |
5234_swa_2 | 5234_swa | Ufahamu 1 Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile M... | Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo na kuwalisha nani | wafanyakazi wake | x |
5234_swa_3 | 5234_swa | Ufahamu 1 Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile M... | wakulima wengi hukimbilia mbolea za lini | za kisasa | x |
5234_swa_4 | 5234_swa | Ufahamu 1 Ulimwengu unapaswa kuzuka na Mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini uno yakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile M... | Mbona wataalamu hawaendi nyanjani kukutana na wakulima | kwa kuwa hawana usafiri | x |
5235_swa_0 | 5235_swa | UFAHAMU 2 Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja na uhandisi (uinjinia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika maabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yaapotumiwa kutengeneza vitu viwandani hali hii inakuwa... | Uhandisi ni ujuzi wa kuunda nini | mitambo | x |
5235_swa_1 | 5235_swa | UFAHAMU 2 Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja na uhandisi (uinjinia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika maabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yaapotumiwa kutengeneza vitu viwandani hali hii inakuwa... | Akina nyanya wanaweza kuzungumza na nani wakiwa mbali | wajukuu | x |
5235_swa_2 | 5235_swa | UFAHAMU 2 Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja na uhandisi (uinjinia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika maabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yaapotumiwa kutengeneza vitu viwandani hali hii inakuwa... | Mababu zetu wako wapi | vijijini | x |
5235_swa_3 | 5235_swa | UFAHAMU 2 Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja na uhandisi (uinjinia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika maabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yaapotumiwa kutengeneza vitu viwandani hali hii inakuwa... | Mabomu ya kitonoradi yaliyoangushwa Hiroshima na Nagasaki Japan lini | mwaka wa 1945 | x |
5235_swa_4 | 5235_swa | UFAHAMU 2 Teknolojia mpya ni tawi la maarifa linalohusiana na sayansi kwa upande mmoja na uhandisi (uinjinia) kwa upande mwingine. Sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi na majaribio katika maabara. Nao uhandisi ni ujuzi wa kuunda mitambo. Maarifa ya sayansi yaapotumiwa kutengeneza vitu viwandani hali hii inakuwa... | Kwa nini teknolojia inahifadhi madini | inatumia malighafi ya kisasa | x |
5236_swa_0 | 5236_swa | UFAHAMU 3 Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadi... | Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la saa ngapi | asubuhi | x |
5236_swa_1 | 5236_swa | UFAHAMU 3 Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadi... | Askari wa jela walimpa nini alipokuwa akiondoka | tabasamu | x |
5236_swa_2 | 5236_swa | UFAHAMU 3 Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadi... | Safari ya nani kutoka gerezani ilikumbwa na mseto wa mawazo | Abdul | x |
5236_swa_3 | 5236_swa | UFAHAMU 3 Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadi... | Hakujua kama nani wangali hai | wazazi wake | x |
5236_swa_4 | 5236_swa | UFAHAMU 3 Macho ya Abdul yalipigwa na mwali mkali wa jua la asubuhi. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuuona mwanga halisi wa ombwe lijiitalo dunia tangu alipohukumiwa kifungo gerezani. Punde tu komeo la mlango wa seli lilipofunguliwa, ilimlazimu Abdul ayafumbe macho kabla ya kuyafumbua tena taratibu ili yazoee mabadi... | Mbona angehairisha hukumu yake | ili kufanya uchunguzi zaidi | x |
5237_swa_0 | 5237_swa | UFAHAMU 4 Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nguo na pia vingine vinaendelea kutengenezwa. Kuna vitambaa vya pamba, hariri vya mnato, nailoni, sufi na vinginevyo. Kadhalika, vitambaa hivi vina mitindo na rangi za kila aina. Kuchagua kitambaa cha kushonea nguo si jambo rahisi. Uchaguzi huo ni sharti ufikiriw... | Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nini | nguo | x |
5237_swa_1 | 5237_swa | UFAHAMU 4 Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nguo na pia vingine vinaendelea kutengenezwa. Kuna vitambaa vya pamba, hariri vya mnato, nailoni, sufi na vinginevyo. Kadhalika, vitambaa hivi vina mitindo na rangi za kila aina. Kuchagua kitambaa cha kushonea nguo si jambo rahisi. Uchaguzi huo ni sharti ufikiriw... | Nani anafaa kuzingatia sifa za vitambaa kabla ya kununua | mnunuzi | x |
5237_swa_2 | 5237_swa | UFAHAMU 4 Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nguo na pia vingine vinaendelea kutengenezwa. Kuna vitambaa vya pamba, hariri vya mnato, nailoni, sufi na vinginevyo. Kadhalika, vitambaa hivi vina mitindo na rangi za kila aina. Kuchagua kitambaa cha kushonea nguo si jambo rahisi. Uchaguzi huo ni sharti ufikiriw... | Mtu anaweza kujua aina ya kitambaa ikiwa ana ujuzi gani | kushika au ‘kuhisi’ | x |
5237_swa_3 | 5237_swa | UFAHAMU 4 Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nguo na pia vingine vinaendelea kutengenezwa. Kuna vitambaa vya pamba, hariri vya mnato, nailoni, sufi na vinginevyo. Kadhalika, vitambaa hivi vina mitindo na rangi za kila aina. Kuchagua kitambaa cha kushonea nguo si jambo rahisi. Uchaguzi huo ni sharti ufikiriw... | Kwa mujibu wa sheria gani ,vibandiko vinapaswa kuwa sahihi | za nchi | x |
5237_swa_4 | 5237_swa | UFAHAMU 4 Siku hizi kuna vitambaa aina aina vya kushonea nguo na pia vingine vinaendelea kutengenezwa. Kuna vitambaa vya pamba, hariri vya mnato, nailoni, sufi na vinginevyo. Kadhalika, vitambaa hivi vina mitindo na rangi za kila aina. Kuchagua kitambaa cha kushonea nguo si jambo rahisi. Uchaguzi huo ni sharti ufikiriw... | Mbona maelezo yanayopatikana kwenye vibandiko ni muhimu | hutoa maelezo muhimu kuhusu aina ya vitambaa | x |
5238_swa_0 | 5238_swa | UFAHAMU 5 Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huuhuthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa... | Afya ni nini | Taji | x |
5238_swa_1 | 5238_swa | UFAHAMU 5 Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huuhuthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa... | Licha ya lishe bora ni nini muhimu katika kudumisha afya njema | Michezo | x |
5238_swa_2 | 5238_swa | UFAHAMU 5 Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huuhuthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa... | Nini hunyong'onyea na kunenepa | Mwili | x |
5238_swa_3 | 5238_swa | UFAHAMU 5 Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huuhuthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa... | Ni kina nani hupata soko la bidhaa zao | Wenyeji | x |
5238_swa_4 | 5238_swa | UFAHAMU 5 Bila shaka, umewahi kusikia kuwa afya ni taji. Hakuna ajuaye haya vyema kama anayeugua. Wanaoelewa usemi huuhuthamini na kudumisha siha yao kwa kila njia. Licha ya lishe bora, michezo ni muhimu katika kudumisha afya njema. Mtu asiposhiriki katika michezo au unyoshaji wa viungo, mwili hunyong‘onyea na kunenepa... | Michezo huyeyusha mafuta mwilini na kutukinga dhidi ya kitu gani | Maradhi | x |
5239_swa_0 | 5239_swa | UFAHAMU 6 Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha mawasiliano na sote tunakubaliana kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile. Katika taifa lolote,huwepo na lugha moja au hata zaidi y... | Lugha ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha nini | Mawasiliano | x |
5239_swa_1 | 5239_swa | UFAHAMU 6 Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha mawasiliano na sote tunakubaliana kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile. Katika taifa lolote,huwepo na lugha moja au hata zaidi y... | Kenya ni mfano mzuri wa taifa lenye lugha zinazozidi ngapi | 40 | x |
5239_swa_2 | 5239_swa | UFAHAMU 6 Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha mawasiliano na sote tunakubaliana kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile. Katika taifa lolote,huwepo na lugha moja au hata zaidi y... | Ni taifa gani lenye mchanganyiko wa tamaduni | Kenya | x |
5239_swa_3 | 5239_swa | UFAHAMU 6 Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha mawasiliano na sote tunakubaliana kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile. Katika taifa lolote,huwepo na lugha moja au hata zaidi y... | Ni nini hutueleza ujuzi au maarifa ya watu fulani | Lugha yao | x |
5239_swa_4 | 5239_swa | UFAHAMU 6 Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa kueleza chanzo au kiini cha mawasiliano na sote tunakubaliana kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile. Katika taifa lolote,huwepo na lugha moja au hata zaidi y... | Utamaduni wa jamii hautenganiki na nini | Lugha yake | x |
5240_swa_0 | 5240_swa | UFAHAMU 7 Kwa kawaida, binadamu huishi kwa kutangamana na binadamu wenzake. Katika kutangamana huku, watu huathiriwa kitabia, kifikira, kimavazi na kimaisha kwa jumla. Watu wote katika jamii wana uwezo wa kuathiri na kuathiriwa na wenzao wa umri mmoja. Hata hivyo, walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao... | Kwa kawaida binadamu huishi kwa kutangamana na nani | Na binadamu wenzake | x |
5240_swa_1 | 5240_swa | UFAHAMU 7 Kwa kawaida, binadamu huishi kwa kutangamana na binadamu wenzake. Katika kutangamana huku, watu huathiriwa kitabia, kifikira, kimavazi na kimaisha kwa jumla. Watu wote katika jamii wana uwezo wa kuathiri na kuathiriwa na wenzao wa umri mmoja. Hata hivyo, walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao... | Kwa kutangamana huku watu huathiriwa vipi | Kitabia | x |
5240_swa_2 | 5240_swa | UFAHAMU 7 Kwa kawaida, binadamu huishi kwa kutangamana na binadamu wenzake. Katika kutangamana huku, watu huathiriwa kitabia, kifikira, kimavazi na kimaisha kwa jumla. Watu wote katika jamii wana uwezo wa kuathiri na kuathiriwa na wenzao wa umri mmoja. Hata hivyo, walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao... | Walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao ni kina nani | Vijana | x |
5240_swa_3 | 5240_swa | UFAHAMU 7 Kwa kawaida, binadamu huishi kwa kutangamana na binadamu wenzake. Katika kutangamana huku, watu huathiriwa kitabia, kifikira, kimavazi na kimaisha kwa jumla. Watu wote katika jamii wana uwezo wa kuathiri na kuathiriwa na wenzao wa umri mmoja. Hata hivyo, walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao... | Ni kina nani husema kuwa kukabiliana na tatizo la shinikizo-rika si rahisi | Wataalamu wa saikolojia | x |
5240_swa_4 | 5240_swa | UFAHAMU 7 Kwa kawaida, binadamu huishi kwa kutangamana na binadamu wenzake. Katika kutangamana huku, watu huathiriwa kitabia, kifikira, kimavazi na kimaisha kwa jumla. Watu wote katika jamii wana uwezo wa kuathiri na kuathiriwa na wenzao wa umri mmoja. Hata hivyo, walio katika hatari ya kuathiriwa zaidi na mahirimu wao... | Kwa nini wataalamu wa saikolojia husema kuwa kukabiliana na tatizo la shinikizo-rika si rahisi | Kwa sababu shinikizo-rika huleta mtafaruku wa kinafsi akilini mwa anayeathiriwa | x |
5241_swa_0 | 5241_swa | UFAHAMU 8 Imefika wakati ambapo kila mmoja lazima ajiulize swali kuhusu tuelekeapo kama jamii, mustakabali wa kizazi cha sasa ni upi? Nauliza swali kuhusiana na misururu ya visa ambayo kwa kweli imeibua hofu na wasiwasi kuhusu msingi wa kimaadili miongoni mwa vijana wetu. Kuna hatari ijapo; mbaya sana. Ni hali ambayo h... | Ni vijana wangapi walinaswa | 300 | x |
5241_swa_1 | 5241_swa | UFAHAMU 8 Imefika wakati ambapo kila mmoja lazima ajiulize swali kuhusu tuelekeapo kama jamii, mustakabali wa kizazi cha sasa ni upi? Nauliza swali kuhusiana na misururu ya visa ambayo kwa kweli imeibua hofu na wasiwasi kuhusu msingi wa kimaadili miongoni mwa vijana wetu. Kuna hatari ijapo; mbaya sana. Ni hali ambayo h... | vijana walivaa mavazi gani | Mafupi | x |
5241_swa_2 | 5241_swa | UFAHAMU 8 Imefika wakati ambapo kila mmoja lazima ajiulize swali kuhusu tuelekeapo kama jamii, mustakabali wa kizazi cha sasa ni upi? Nauliza swali kuhusiana na misururu ya visa ambayo kwa kweli imeibua hofu na wasiwasi kuhusu msingi wa kimaadili miongoni mwa vijana wetu. Kuna hatari ijapo; mbaya sana. Ni hali ambayo h... | Visa vimekuwa kawaida mji upi | Nairobi | x |
5241_swa_3 | 5241_swa | UFAHAMU 8 Imefika wakati ambapo kila mmoja lazima ajiulize swali kuhusu tuelekeapo kama jamii, mustakabali wa kizazi cha sasa ni upi? Nauliza swali kuhusiana na misururu ya visa ambayo kwa kweli imeibua hofu na wasiwasi kuhusu msingi wa kimaadili miongoni mwa vijana wetu. Kuna hatari ijapo; mbaya sana. Ni hali ambayo h... | Mwigo ulikuwa upi | Kishetani | x |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.