id
string
story_id
string
context
string
question
string
answer
string
paragraph_id
string
5198_swa_4
5198_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya. Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhimu...
Kwa nini dawa hutengenezwa
ili kupigana na magonjwa sugu
x
5200_swa_0
5200_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo. Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna elim...
Jambo ambalo mtu hufanya ili ajisaidie maishani huitwa nini
Elimu
x
5200_swa_1
5200_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo. Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna elim...
Mtu hawezi kupata nini kama hana elimu
Kazi nzuri
x
5200_swa_2
5200_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo. Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna elim...
Mtu anaweza kuwa mwizi na kufanya ubaguzi ili kupata nini
Hela
x
5200_swa_3
5200_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo. Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna elim...
Tunafaa kujitahidi na kusoma vipi
Kwa bidii
x
5200_swa_4
5200_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo. Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna elim...
Mbona msemaji awaelezee umuhimu wa elimu
Ili waendelee na masomo
x
5202_swa_0
5202_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairobi...
Alimpa pongezi mwalimu gani
mkuu
x
5202_swa_1
5202_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairobi...
Aliwafunza kuhusu kuenea kwa maradi gani
ya Ukimwi
x
5202_swa_2
5202_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairobi...
Kinga ni bora kuliko nini
tiba
x
5202_swa_3
5202_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairobi...
Nani wana tabia ya ngono
vijana
x
5202_swa_4
5202_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairobi...
Mbona tutumie njia mahususi
ili kuuzima ukimwi
x
5203_swa_0
5203_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana. La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ku...
Ni nini kitu ya maana maishani
Elimu
x
5203_swa_1
5203_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana. La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ku...
Nani amekuwa kama wendawazimu kwa sababu ya dawa za kulevya
Vijana
x
5203_swa_2
5203_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana. La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ku...
Ni ninimuhimu sana maishani
Masomo
x
5203_swa_3
5203_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana. La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ku...
Wazee na vijana huleta nini
ukimwi mtu hawezi jua uko nao
x
5203_swa_4
5203_swa
HOTUBA “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana. La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ku...
Kwa nini hakutaka kuonana na mama yake
Alikuwa mja mzito
x
5204_swa_0
5204_swa
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. "Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani mamb...
Jessicah ako kidato kipi
cha kwanza
x
5204_swa_1
5204_swa
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. "Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani mamb...
Jessicah anawaelezea umuhimu wa nini
elimu
x
5204_swa_2
5204_swa
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. "Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani mamb...
Elimu ni nini ya maisha
binadamu
x
5204_swa_3
5204_swa
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. "Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani mamb...
Elimu uongezea mtu nini
akili
x
5204_swa_4
5204_swa
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. "Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani mamb...
Ni vipi elimu ina ongeza mtu akili
Kwa kumwezesha kujijua na kuheshimu wakubwa kwa wadogo
x
5205_swa_0
5205_swa
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu. Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule....
Mwandishi anahutubia kuhusu umuhimu wa nini
elimu
x
5205_swa_1
5205_swa
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu. Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule....
Mzazi humpa mtu nini
elimu
x
5205_swa_2
5205_swa
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu. Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule....
Wanao hangaika kijiji wamekosa nini
elimu
x
5205_swa_3
5205_swa
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu. Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule....
Elimu umpatia mtu nini
kazi
x
5205_swa_4
5205_swa
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu. Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule....
Maisha yatakuwa sawa kivipi
kwa kupenda elimu na huwaheshimu walimu
x
5206_swa_0
5206_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu. Ninashukur...
Ni hotuba kuhusu nini
Umuhimu wa elimu
x
5206_swa_1
5206_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu. Ninashukur...
Msemaji angependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria nini
mkutano
x
5206_swa_2
5206_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu. Ninashukur...
Msemaji ana nini
Furaha tele
x
5206_swa_3
5206_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu. Ninashukur...
Ni kweli kwamba elimu ni kama nini
Mwangaza wa maisha
x
5206_swa_4
5206_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu. Ninashukur...
Hakuna nini bila elimu
Maisha
x
5207_swa_0
5207_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahili ...
Nini msingi wa maendeleo
elimu
x
5207_swa_1
5207_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahili ...
Mwalimu mkuu gani alifunza waliohudhuria
wa Kiswahili
x
5207_swa_2
5207_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahili ...
wahenga walisema nani afumbiwe fumbo
mjinga
x
5207_swa_3
5207_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahili ...
Maandishi mengi huwa na uzito wa nini
maana
x
5207_swa_4
5207_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahili ...
Mbona wanafunzi hufunzwa kusoma na kuandika
kusudi waweze kuchambua maandishi
x
5208_swa_0
5208_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tunapo...
Wahenga walisema elimu ni nini
bahari
x
5208_swa_1
5208_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tunapo...
Waliombwa wasimame wamshukuru nani
Mungu
x
5208_swa_2
5208_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tunapo...
Watu gani hutaabika mno
wasio na elimu
x
5208_swa_3
5208_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tunapo...
Vidole vingapi havivunji chawa
kimoja
x
5208_swa_4
5208_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tunapo...
Mbona aliwashukuru
kwa kumtegea sikio
x
5209_swa_0
5209_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini. Matokeo yetu darasani has...
Ni nini kilicho na umuhimu maishani
Elimu
x
5209_swa_1
5209_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini. Matokeo yetu darasani has...
Ukosefu wa nidhamu ni kupiga kelele wapi
Darasani
x
5209_swa_2
5209_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini. Matokeo yetu darasani has...
Ni nini hakijakuwa cha kuridhisha
Masomo yetu darasani
x
5209_swa_3
5209_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini. Matokeo yetu darasani has...
Kila mwanafunzi awajibike na kutenda nini
Anayostahili kutenda
x
5209_swa_4
5209_swa
UMUHIMU WA ELIMU Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini. Matokeo yetu darasani has...
Nini matumaini ya mnenaji
Kuwa kila mwanafunzi atawajibika
x
5210_swa_0
5210_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahi...
Ni nini msingi wa maendeleo
Elimu
x
5210_swa_1
5210_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahi...
Nini hurahisisha mawasiliano
Elimu
x
5210_swa_2
5210_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahi...
Mwenye macho haambiwi nini
Tazama
x
5210_swa_3
5210_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahi...
Fumbato mfumbie nani
Mjinga
x
5210_swa_4
5210_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla. Mwalimu mkuu wa Kiswahi...
Kwa nini asiyekuwa na masomo hawezi kujenga taifa
Kwa vile asiyejua kusoma hawezi kuelewa
x
5211_swa_0
5211_swa
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu. Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muhim...
Asanteni kwa kunipa nii
Hii nafasi
x
5211_swa_1
5211_swa
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu. Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muhim...
Sina nini cha kuzungumza
Mambo mengi
x
5211_swa_2
5211_swa
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu. Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muhim...
Ingewezekana tungeinia shuleni saa ngapi
Mbili
x
5211_swa_3
5211_swa
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu. Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muhim...
Tungeondolewa nini
Karo ya shule
x
5211_swa_4
5211_swa
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu. Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muhim...
Kwa nini tuondolewe karo ya shule
Kwa sababu wazazi wetu huishi kwenye majumba ya kukodesha
x
5212_swa_0
5212_swa
UMUHIMU WA ELIMU “Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia t...
Umealikwa kuhutubu kuhusu elimu na nini
nidhamu
x
5212_swa_1
5212_swa
UMUHIMU WA ELIMU “Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia t...
Anamshukuru nani kwa kumpa ruhusa
mwalimu mkuu
x
5212_swa_2
5212_swa
UMUHIMU WA ELIMU “Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia t...
Walimu walimsaidia katika muhula huu na gani
uliopita
x
5212_swa_3
5212_swa
UMUHIMU WA ELIMU “Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia t...
Nani atawabariki
Mungu
x
5212_swa_4
5212_swa
UMUHIMU WA ELIMU “Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia t...
Mbona alipewa nafasi
ili awahutubie kuhusu umuhimu wa masomo
x
5213_swa_0
5213_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya...
Umealikwa kuhutubia nani
wanafunzi
x
5213_swa_1
5213_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya...
Siku hizi wanafunzi wamejiingiza katika vikundi vya watu gani
wabaya
x
5213_swa_2
5213_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya...
Wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa kupitia nini
elimu
x
5213_swa_3
5213_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya...
Wengine huona wivu kwani watoto wao waliacha nini
shule
x
5213_swa_4
5213_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya...
Mbona wanafunzi wanafaa kusoma
ili kuwasaidia wazazi wao
x
5214_swa_0
5214_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, h...
Ningependa kuchukua fursa hii kumshukuru nani
Mwalimu mkuu
x
5214_swa_1
5214_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, h...
Nimesimama wapi
Mbele yenu
x
5214_swa_2
5214_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, h...
Bila elimu hatungeweza kuwa wapi
Mahali
x
5214_swa_3
5214_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, h...
Elimu ni jambo muhimu kwa nani
Kila binadamu
x
5214_swa_4
5214_swa
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, h...
Nani alituambia kuwa lazima tuwe na nidhamu shuleni
Naibu wa mwalimu mkuu
x
5215_swa_0
5215_swa
UMUHIMU WA ELIMU. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah! Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale. Bila kupoteza mu...
Anamshukuru nani kwa fursa
Mwalimu mkuu
x
5215_swa_1
5215_swa
UMUHIMU WA ELIMU. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah! Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale. Bila kupoteza mu...
Ni kitu gani cha umuhimu
Elimu
x
5215_swa_2
5215_swa
UMUHIMU WA ELIMU. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah! Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale. Bila kupoteza mu...
Ni ndio ngao
Elimu
x
5215_swa_3
5215_swa
UMUHIMU WA ELIMU. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah! Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale. Bila kupoteza mu...
Wanafunzi wanaombwa wasome kwa nini
Bidii
x
5215_swa_4
5215_swa
UMUHIMU WA ELIMU. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah! Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale. Bila kupoteza mu...
Kwa nini wasipoteze muda
Kwa vile ukipotea haurudi
x
5216_swa_0
5216_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage. Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii. Wahenga na wahenguzi wakukosea wali...
Susan Ruguru ametoka wapi
Gacharage
x
5216_swa_1
5216_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage. Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii. Wahenga na wahenguzi wakukosea wali...
Anaeleza kuhusu umuhimu wa nini
elimu
x
5216_swa_2
5216_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage. Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii. Wahenga na wahenguzi wakukosea wali...
Nani anachukia kurekebishwa
mjinga
x
5216_swa_3
5216_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage. Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii. Wahenga na wahenguzi wakukosea wali...
Aliwarekebisha lini
mapema
x
5216_swa_4
5216_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage. Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii. Wahenga na wahenguzi wakukosea wali...
Kwa nini aliwarekebisha mapema
kwani usipoziba ufa utajenga ukuta
x
5217_swa_0
5217_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu. Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mt...
Mbiu ya mgambo ikilia kuna nini
jambo
x
5217_swa_1
5217_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu. Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mt...
Mchagua jembe si nani
mkulima
x
5217_swa_2
5217_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu. Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mt...
Nini haina mwisho
masomo
x
5217_swa_3
5217_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu. Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mt...
Utafanya kazi gani bila Mungu
ya bure
x
5217_swa_4
5217_swa
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu. Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mt...
Mbona mwanafunzi afanye kazi kwa bidii
ili apate anachotaka
x
5218_swa_0
5218_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo. Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu ha...
Mnenaji anawashukuru kwa kuja wapi
Hapa
x
5218_swa_1
5218_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo. Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu ha...
Masomo ni muhimu kwa maisha ya nani
Binadamu
x
5218_swa_2
5218_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo. Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu ha...
Nini kinaweza kutusaidia katika maisha haya
Masomo
x
5218_swa_3
5218_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo. Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu ha...
Nani anaweza kuwa maskini
Mzazi
x
5218_swa_4
5218_swa
UMUHIMU WA ELIMU "Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo. Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu ha...
Tusiposoma kwa bidii tutaishi maisha gani
Ya ufukara
x
5219_swa_0
5219_swa
UMUHIMU WA ELIMU Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi. Walimu, elimu ni kitu cha maana s...
Msemaji anatumai wana nini
Afya
x
5219_swa_1
5219_swa
UMUHIMU WA ELIMU Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi. Walimu, elimu ni kitu cha maana s...
Anachukua fursa kuwakaribisha wapi
Katika mkutano
x
5219_swa_2
5219_swa
UMUHIMU WA ELIMU Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi. Walimu, elimu ni kitu cha maana s...
Elimu ina nini
Mavuno mengi sana
x
5219_swa_3
5219_swa
UMUHIMU WA ELIMU Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi. Walimu, elimu ni kitu cha maana s...
Mtu anaposoma huona nini
Mazuri
x
5219_swa_4
5219_swa
UMUHIMU WA ELIMU Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi. Walimu, elimu ni kitu cha maana s...
Mtu asipopata elimu atapata nini
Shida
x
5220_swa_0
5220_swa
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu...
Watu hulima nini
Chakula kingi sana
x
5220_swa_1
5220_swa
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu...
Ni wakati gani watu hawakukosa chakula
Mwaka wa elfu mbili na kumi na saba
x
5220_swa_2
5220_swa
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu...
Watu walikula chakula chao vipi
Vizuri bila kutupa
x
5220_swa_3
5220_swa
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo. Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu...
Waziri aliwahimiza watu wasiharibu nini
Vyakula
x